ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Benki Ya Equity Na Nala Wasaini Mkataba Utumaji wa fedha Kimataifa

ADAM CHAUYA by ADAM CHAUYA
Dec 14, 2021
in HABARI
0
Benki Ya Equity Na Nala Wasaini Mkataba Utumaji wa fedha Kimataifa
0
SHARES
186
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Benki ya Equity kwa kushirikiana na kampuni ya kiteknolojia ya NALA, wamesaini mkataba wa utumaji fedha  kimataifa utakaowasaidia watanzania wanaoishi nje ya nchi kutuma fedha kwa urahisi hapa nchini.

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More

Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo Disemba 14, 2021 katika ofisi za benki ya Equity, mkurugenzi mkuu wa benki hiyo Roberty Kiboti, amesema kupitia kampuni ya Nala watawarahisishia wanadiaspora kuwatumia ndugu zao fedha bila ya makato.

Kiboti amesema kupitia huduma hiyo, serikali itapata fursa ya kupata mapato na kuzidi kuchochea kukua kwa uchumi wa nchi.

“Leo tunazindua hudumaa hii,tumeona tuwasaidie wateja wetu wa diaspora kutuma pesa hapa nyumbani Tanzania na hii itasaidia kukuza uchumi wa nchi kupitia uwekezaji huu”, alisema Kiboti.

Kadhalika Kiboti amesema kupitia makubaliano hayo wateja wa NALA wataweza kutuma fedha kupitia simu za mkononi na kuingia mojakwamoja katika akaunti ya benki ya Equity.

 

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Nala Benjamin Fernandes ameishukuru benki ya Equity pamoja na benki kuu ya Tanzania (BOT) kwa kukubali mfumo huo kutumika hapa nchini.

Aidha amesema kampuni yao inaendeleza kutanua wigo ambapo mwakani wataingia katika nchi ya marekani ili wawafikie watanzania wanoishi huko.

“Sisi ni kampuni ya kiteknolojia ambayo tumeanzisha bidhaa itakayowagusa watanzania kutuma pesa kutoka nje ya nchi kuja hapa, kwasasa takwimu zinaonesha kuna wanadiaspora zaidi ya 300,000 wanaoishi nchini uingereza ambao wanatumia hii huduma.

tunatarajia mwakani tuingie nchini Marekani ili tuweze kuwapa huduma hii wanadiaspora wa huko”, alisema Fernandes.

 

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
ADAM CHAUYA

ADAM CHAUYA

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2021
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Oct   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In