ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, July 4, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

WATEJA T-PESA KUNUFAIKA NA USHIRIKIANO MPYA NA POSTA TANZANIAοΏΌ

I am Krantz by I am Krantz
Dec 8, 2021
in HABARI
0
WATEJA T-PESA KUNUFAIKA NA USHIRIKIANO MPYA NA POSTA TANZANIAοΏΌ
0
SHARES
156
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Mkurugenzi wa T-PESA, Bi. Lulu Mkudde (wa pili kushoto) pamoja na Kaimu Posta Masta Mkuu, Aron Samwel (wa pili kulia) wakisaini mkataba wa makubaliano ya kibiashara baina ya T-PESA na Shirika la Posta Tanzaina (TPC), kwa makubaliano hayo kwa sasa TPC inakuwa WAKALA MKUU ambaye anaenda kubeba dhamana ya kuwahudumia MAWAKALA WADOGO wa T-PESA.


Mkurugenzi wa T-PESA, Bi. Lulu Mkudde (kushoto) pamoja na Kaimu Posta Masta Mkuu, Aron Samwel (kulia) wakibadilishana nakala za mkataba wa makubaliano ya kibiashara baina ya T-PESA na Shirika la Posta Tanzaina (TPC), leo jijini Dar es Salaam.


Mkurugenzi wa T-PESA, Bi. Lulu Mkudde akizungumza kwenye hafla ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kibiashara baina ya T-PESA na Shirika la Posta Tanzaina (TPC), leo jijini Dar es Salaam.


Kaimu Posta Masta Mkuu, Aron Samwel akizungumza kwenye hafla ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kibiashara baina ya T-PESA na Shirika la Posta Tanzaina (TPC), leo jijini Dar es Salaam.


Mkurugenzi wa T-PESA, Bi. Lulu Mkudde (katikati aliyesimama) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kwenye hafla ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kibiashara baina ya T-PESA na Shirika la Posta Tanzaina (TPC), leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa T-PESA, Bi. Lulu Mkudde (wa pili kushoto) na Kaimu Posta Masta Mkuu, Aron Samwel (wa pili kulia) wakionesha nakala za mkataba wa makubaliano ya ushirikiano kibiashara baina ya pande mbili. Pembeni yao ni wanasheria wa pande zote mbili wakishuhudia.


RelatedPosts

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO

π–π€π™πˆπ‘πˆ 𝐖𝐀 π€π…π˜π€ WA ZANZIBAR π€πˆππ€ πŠπŽππ†πŽπ‹π„ π€πŠπˆππ€ π‚πŽπŒπ„π‘π‚πˆπ€π‹ ππ€ππŠ

Jul 3, 2022

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO

Jul 3, 2022

BENKI YA CRDB NA WAKALA WA SERIKALI MTANDAO ZANZIBARA WAINGIA MAKUBALIANO

Jul 3, 2022
Load More

Na Mwandishi Wetu, Dar

KAMPUNI ya T-PESA imeingia makubaliano ya ushirikiano kibiashara na Shirika la Posta Tanzaina (TPC) unaolenga kurahisisha huduma za kifedha kwa mawakala pamoja na wateja wake.

Akizungumza katika hafla ya kutiliana saini makubaliano hayo, Mkurugenzi wa T-PESA, Bi. Lulu Mkudde alisema hatua hiyo ni mwendelezo wa utekelezaji wa mpango wa T-PESA kuboresha huduma zake za Kifedha nchini na kuhakikisha wateja wake wanakuwa karibu zaidi na mawakala na pia kupata huduma kwa urahisi, haraka na kwa bei nafuu.

Aidha alisema katika makubaliano hayo kwa sasa Shirika la Posta linakuwa WAKALA MKUU ambaye anaenda kubeba dhamana ya kuwahudumia MAWAKALA WADOGO. Alisema T-Pesa inatambua ukubwa wa Shirika la Posta na mchango wake katika kutoa huduma kwa wananchi, hivyo kitendo cha Posta kupewa nafasi hiyo ni chaguo sahihi kuwafikia mawakala wadogo na wateja hadi ngazi ya wilaya. 

“…Kwa nafasi ya kipikee napenda kuishukuru Menejimenti ya Posta chini ya Postamasta Mkuu Ndugu Macrice Mbodo kwa kukubali Shirika la Posta kuwa WAKALA MKUU ambaye anaenda kubeba dhamana kubwa ya kuwahudumia MAWAKALA WADOGO. 

Tunatambua ukubwa wa Shirika la Posta na mchango wake katika kutoa huduma kwa wananchi. Tunahakika POSTA kuwa WAKALA MKUU ni chagua sahihi ya kuwafikia mawakala wadogo na wateja hadi ngazi ya Wilaya,” alisema Bi. Lulu Mkudde.

Aliongeza kuwa T-PESA inaendelea na uboreshaji wa huduma zake huku lengo likiwa ni kuhakikisha huduma zinapatikana kwa urahisi zaidi mahali popote na ndiyo haswa sababu ya kuendelea kusaini makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara na taasisi zingine.

Akifafanua zaidi kwa wanahabari, Bi. Mkudde alibainisha kuwa muunganiko huo wa huduma za kibiashara baina ya taasisi hizo mbili unalenga kuwawezesha wananchi kufanya miamala yao ya Kifedha kwa njia rahisi na salama zaidi, ambapo sasa Wakala wa T-PESA atakuwa na uwezo wa kupata Floti kupitia POSTA ikiwemo huduma za Uwakala kwa Wateja kutoa pesa kwenye akaunti zao kupitia Ofisi za TPC.

“…Ili kufanikisha ukuaji wa huduma zitolewazo na T-PESA, mipango madhubuti imekuwa ikifanywa ikiwa ni pamoja na kuunganisha huduma zetu pamoja na benki mbalimbali ikiwemo CRDB, TCB, (zamani TPB), NMB, Peoples Bank of Zanzibar na AZANIA Benki ili kurahisisha upatikanaji wa huduma zetu,” aliongeza Bi. Mkudde.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Kaimu Posta Masta Mkuu, Aron Samwel akizungumzia katika hafla hiyo alisema ushirikiano huo baina ya T-PESA na TPC utaleta tija kwa pande zote mbili kutokana na kwamba huduma zao zimesambaa nchi nzima na sasa huduma za T-PESA zitapatikana kila mahali zilipo huduma za Shirika la Posta.

—

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

πŸ‘‰ FOUNDER & CEO of KONCEPT πŸ‘‰Serial & Self-made Entrepreneur πŸ‘‰Digital media consultant πŸ‘‰Pr & media Guru/Awards winner Blogger πŸ‘‰Startuper of the year 2016 by TOTAL πŸ‘‰TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 πŸ‘‰General Secretary at Tanzania Bloggers Network πŸ‘‰ UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 πŸ‘‰ ALUMNI The Tony Elumelu Foundation πŸ‘‰Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ β€˜ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion β€πŸ˜Š

Related Posts

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO
BIASHARA

π–π€π™πˆπ‘πˆ 𝐖𝐀 π€π…π˜π€ WA ZANZIBAR π€πˆππ€ πŠπŽππ†πŽπ‹π„ π€πŠπˆππ€ π‚πŽπŒπ„π‘π‚πˆπ€π‹ ππ€ππŠ

by I am Krantz
Jul 3, 2022
NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO
BIASHARA

NSSF YAWAHIMIZA WAJASIRIAMALI KUCHANGAMKIA FURSA KWA KUJIUNGA NA MFUKO HUO

by I am Krantz
Jul 3, 2022
BENKI YA CRDB KATIKA MAONESHO YA 46 YA SABASABA
BIASHARA

BENKI YA CRDB KATIKA MAONESHO YA 46 YA SABASABA

by I am Krantz
Jul 3, 2022
WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI
HABARI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
NEYMAR KUONDOKA PSG
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
December 2021
M T W T F S S
 12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  
« Oct   Jan »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved Β© 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved Β© 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In