Meneja Mwandamizi wa wateja Binafsi wa Benki ya NMB, Ali Ngingite akizungumza wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya kampeni ya MastaBata Kivyakovyako iliyochezeshwa Dar es Salaam. kutoka kushoto ni Meneja Mwandamizi kitengo cha kadi, Manfred Kayala, Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha, Joram Mtafya
Na Mwandishi Wetu
Wateja 100 wa kwanza wa kampen
i ya NMB MastaBata-Kivyako Vya ko walipatikana jana nakuzawad iwa pesa taslimu TZS 100,000 kila mmoja nataasisi h iyo kiongozi wa shughuli za ki fedha nchini.
Washindi hao wamezawadiwa juml
ya TZS milioni 10.a
Promosheni ya MastaBata-
Kivyako Vyako ilizinduliwarasm i katikati ya mwezi Disemba mw aka jana kwa lengola kuchagiza matumizi ya kadi za malipo za Mastercardkama sehemu ya mcha ngo wa NMB katika juhudi zatai fa za kujenga uchumi usiotegem ea sana fedhataslimu.
NMB pia inatumia kampeni hii ya ku
endeleza uchumi wakidijitali k urudisha fadhila kwa wateja wake waaminifuambao wamekuwa n i muhili muhimu wa safari yake yamabadiliko ya kidijitali.
Akizungumza wakati wa droo ya
kuwapata washindi wakwanza wa MastaBata-Kivyako Vyako, Menej aMwandamizi wa Wateja Binafsi wa NMB, Bw. Ali Ngingite, alisema zaidi ya TZS milioni 200 zitanyakuliwa kwenye kampeni hii ya miezi mi tatu.
βHili ni toleo la tatu la kamp
eni za MastaBata zilizoanzaras mi mwaka 2018 kuwahamasisha wa teja na wasiowateja wa Benki y a NMB kutumia kadi za Masterca rdwanapofanya malipo na miamal a kupitia intaneti,β mtaalumu huyo wa mikopo binafsi alisema .
βKama watangulizi wake, promos
heni ya MastaBata-Kivyako Vyak o pia ina lengo la kuwatambua nakuwazawadia wateja wetu waam inifu kwa kuendeleakutumia hud uma zetu,β Bw Ngingite alionge za nakutabainisha kuwa zitakuw epo pia droo za kila mwezi nai le kubwa ya mwisho.
Wakati washindi 100 wa kila
wiki watashinda TZS 100,000 kila mmoja, 25 watanyakua TZS 1,000,000 kilamwezi na 30 wa m wisho watashinda jumla ya TZS milioni 90 zikiwa ni TZS milio ni kwa kila mshindi.
Bw Ngingite alisema takribani
wateja 1,000 wanategemewa kush inda zawadi za promosheni yaMa staBata-Kivyako Vyako iliyopan gwa kufikia tamatimwezi Machi.
Kampeni hii inawahusisha pia w
ateja wa benki hiyowanaofanya malipo kwa NMB MasterPass QR. Kama kawaida droo ya jana ilis imamiwa na ofisa mwandamiziwa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT).
NMB inasema kampeni zake za Ma
staBatazimefanikiwa sana kucha giza malipo ya kidijitali nchi nina matumizi ya kadi za Maste rcard kufanya malipo namiamala mbali mbali.
Mwezi Novemba mwaka jana, kamp
uni ya MastercardInternational iliitunuku NMB tuzo maalumu y a kuwabengi kiongozi wa kuhama sisha matumizi ya kadi zakench ini.
MWISHOβ¦