ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

8 wafariki katika shambulio la Uwanja wa ndege Somalia

I am Krantz by I am Krantz
Mar 24, 2022
in HABARI
0
8 wafariki katika shambulio la Uwanja wa ndege Somalia
0
SHARES
39
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Watu wanane wamefariki, na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab kushambulia uwanja wa mkubwa wa ndege huko Mogadishu Somalia.

Msemaji wa polisi ameiambia BBC kuwa watano kati ya waliouawa ni raia wa kigeni akiwemo mwanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia- AMISOM. Wanamgambo wawili wa Al Shabab pia waliuawa katika shambulio hilo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Aden Adde siku ya Jumatano.

RelatedPosts

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA

May 22, 2022

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

May 22, 2022

ANAYETUHUMIWA KUMLAWITI BINTI YAKE AKAMATWA NA POLISI LINDI

May 22, 2022
Load More

Kwa mujnibu wa Msemaji wa polisi wa Somalia watu hao wanaoshukiwa pia kuwa wanachama wa kundi la al-Qaeda walijaribu kuvamia sehemu ya uwanja wa ndege wenye ulinzi mkali lakini walipigwa risasi na vikosi vya usalama waliokuwa wakifunga lango.

ADVERTISEMENT

Uraia wa waliouawa bado haujatambuliwa. Sehemu iliyolengwa ya uwanja wa ndege ina kambi ya jeshi, ofisi za Umoja wa Mataifa na balozi kadhaa za kigeni.

Walioshuhudia tukio hilo wameiambia BBC kuwa walisikia milio mikubwa ya risasi na kushuhudia moshi mweusi ukifuka kutoka sehemu ya uwanja wa ndege.

Ripoti nyingine zinasema kuwa ofisi za Umoja wa Mataifa zilishambuliwa na makombora. Kundi hilo la wanamgambo katika siku za nyuma lililenga vituo vya serikali, vikosi vya usalama na raia na miezi ya hivi karibuni limeshuhudia ongezeko kubwa la mashambulizi katika mji mkuu na maeneo mengine ya nchi.

Haya yanajiri wakati ambapo Somalia inaendelea na uchaguzi wa bunge ambao umecheleweshwa kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA
HABARI

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO
HABARI

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
ANAYETUHUMIWA KUMLAWITI BINTI YAKE AKAMATWA NA POLISI LINDI
HABARI

ANAYETUHUMIWA KUMLAWITI BINTI YAKE AKAMATWA NA POLISI LINDI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA
HABARI

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
HABARI

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In