ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, April 2, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

8 wafariki katika shambulio la Uwanja wa ndege Somalia

I am Krantz by I am Krantz
Mar 24, 2022
in HABARI
0
8 wafariki katika shambulio la Uwanja wa ndege Somalia
0
SHARES
133
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Watu wanane wamefariki, na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab kushambulia uwanja wa mkubwa wa ndege huko Mogadishu Somalia.

Msemaji wa polisi ameiambia BBC kuwa watano kati ya waliouawa ni raia wa kigeni akiwemo mwanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia- AMISOM. Wanamgambo wawili wa Al Shabab pia waliuawa katika shambulio hilo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Aden Adde siku ya Jumatano.

RelatedPosts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

Apr 2, 2023

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

Apr 2, 2023

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

Apr 2, 2023
Load More

Kwa mujnibu wa Msemaji wa polisi wa Somalia watu hao wanaoshukiwa pia kuwa wanachama wa kundi la al-Qaeda walijaribu kuvamia sehemu ya uwanja wa ndege wenye ulinzi mkali lakini walipigwa risasi na vikosi vya usalama waliokuwa wakifunga lango.

Uraia wa waliouawa bado haujatambuliwa. Sehemu iliyolengwa ya uwanja wa ndege ina kambi ya jeshi, ofisi za Umoja wa Mataifa na balozi kadhaa za kigeni.

ADVERTISEMENT

Walioshuhudia tukio hilo wameiambia BBC kuwa walisikia milio mikubwa ya risasi na kushuhudia moshi mweusi ukifuka kutoka sehemu ya uwanja wa ndege.

Ripoti nyingine zinasema kuwa ofisi za Umoja wa Mataifa zilishambuliwa na makombora. Kundi hilo la wanamgambo katika siku za nyuma lililenga vituo vya serikali, vikosi vya usalama na raia na miezi ya hivi karibuni limeshuhudia ongezeko kubwa la mashambulizi katika mji mkuu na maeneo mengine ya nchi.

Haya yanajiri wakati ambapo Somalia inaendelea na uchaguzi wa bunge ambao umecheleweshwa kwa zaidi ya mwaka mmoja.

ADVERTISEMENT

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO
HABARI

EX MSUMBUFU KUFUNGWA JELA MIAKA MITANO

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI
HABARI

CAMERA ILIYOPOTEA MIAKA 13 YAPATIKANA KWENYE MATOPE PICHA BADO ZIPO VIZURI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI
HABARI

AFUKUA MAITI YA MAMA YAKE NA KUKAA NAYO NDANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE
HABARI

MUUGUZI AFARIKI AKIJIFANYIA HUDUMA MWENYEWE

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI
HABARI

CHINA NA BRAZIL ZAIKATAA DOLA YA MAREKANI

by Shabani Rapwi
Apr 2, 2023
YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In