Bumbuli Ataja Kitakachoipa Ubingwa Yanga SC – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, May 19, 2022
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Bumbuli Ataja Kitakachoipa Ubingwa Yanga SC

I am Krantz by I am Krantz
Mar 25, 2022
in HABARI
0
0
SHARES
51
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amejinasibu kuwa kila mchezaji wa kikosi hicho ana uwezo mkubwa wa kufunga jambo ambalo anaamini litawapa Ubingwa wa Ligi Kuu NBC Tanzania msimu huu wa mwaka 2021-22.

Bumbuli amesema hayo wakati akiongelea maandalizi ya mchezo wao wa kirafiki dhidi ya timu ya Mlandizi ya Visiwani Zanzibar unaotaraji kuchezwa Jumatano 30 Machi 2022 huku akisema lengo la mchezo huo ni kuwapa nafasi wachezaji ambao hawapati nafasi ya kucheza mara kwa mara ili kurudisha viwango vyao.

RelatedPosts

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA

May 19, 2022

NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU

May 19, 2022

NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU

May 19, 2022
Load More

”Timu ilingia kambini tangu jumanne na tunaendelea na mazoezi kwa mujibu wa programu ya mwalimu alihitaji mechi kirafiki kwaajili ya kuwapa muendelezo wa wachezaji wetu kuwa imara kwa wale wachezaji ambao hawatumiki mara kwa mara ” amesema Hassan Bumbuli

Kwa upande mwingine Bumbuli amesema nyota wa Yanga ambao walliokuwa majeraha wamepoona na kilichosalia ninuamuzi wa Kocha Mohammed Nabi kuwatumia katika michezo ijayo ya Ligi kuu na FA.

”Hali za nyota wa Yanga Khalid Aucho, Saido Ntibanzokiza, Jesus Moloko, Crispin Ngushi zinaendelea vyema na siku yoyote wataweza kutumika katika kikosi cha Yanga ”amesema Hassani Bumbuli

Yanga ambao ni vinara wa Ligi kuu wakiwa na alama 45, utofauti wa alama 11 na wapinzani wao Simba SC wanaoshika nafasi ya pili wakiwa na alama 34 huku Yanga SC ikitarajiw kuwa Ugenini April 6, 2022 kucheza dhidi ya Azam FC katika uwanja wa Chamazi nje kidg ya Jijini La Dar es salaam.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA
BIASHARA

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU
HABARI

NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU

by I am Krantz
May 19, 2022
“PANYA ROAD” KAENI CHONJO SERIKALI IPO KAZINI
HABARI

“PANYA ROAD” KAENI CHONJO SERIKALI IPO KAZINI

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
RAIS SAMIA AMETOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA
HABARI

RAIS SAMIA AMETOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
WATEJA WA HALOTEL KUJIPATIA ZAWADI KUPITIA MATUMIZI YA MTANDAO
BIASHARA

WATEJA WA HALOTEL KUJIPATIA ZAWADI KUPITIA MATUMIZI YA MTANDAO

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 19, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In