ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Faida za kunywa mtindi

I am Krantz by I am Krantz
Mar 29, 2022
in HABARI
0
Faida za kunywa mtindi
0
SHARES
192
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT


Unywaji wa maziwa mtindi husaidia kuboresha afya ya mwili na kupandisha kiwango cha lehemu nzuri mwilini.
Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Sayansi ya Chakula ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), Dk Elifatio Towo anavitaja virutubishi vilivyomo kwenye maziwa kuwa ni utomwili, kabohaidreti, mafuta , madini na vitamini.

Dk Towo anasema maziwa ni mojawapo ya vyakula vichache ambavyo ni mlo kamili na hiyo ni kwa sababu ya ubora wake wa virutubishi vilivyomo.

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More

Anasema maziwa yaliyochachushwa (mtindi) yanakuwa yameongezewa bakteria wazuri.

“Bakteria hawa wanasaidia kubadilisha sukari iliyoko kwenye maziwa halisi kuwa kwenye hali ya uchachu (asidi),” anasema Dk Towo.

Mtaalamu huyo anasema maziwa yaliyochachushwa ni miongoni mwa vyakula bora na muhimu katika afya ya binadamu kwa sababu ya kuwa na virutubishi vingi ambavyo vina faida katika mwili wa binadamu.

Anasema mtindi pia una vitamini ‘Riboflavin (vitamin B2), na ‘vitamin B12.

ADVERTISEMENT

Dk Towo anasema wakati wa uchachushaji kuna vichocheo vingine vinavyojulikana kama antioksidants, hivi vinavyokinga mwili dhidi ya magonjwa ya kuharisha na aina mbalimbali za saratani.

Maziwa hawa yana faidia nyingi kama kuimarisha kinga mwili kwa kuwa tafiti zinaonyesha utumiaji wa mtindi mara kwa mara unaongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa ya saratani, vidonda vya tumbo na vidonda katika sehemu mbalimbali za mwili.

Pia, husaidia ukuaji wa misuli na kurudisha ute ulipotea kwenye maungo ya magoti na viwiko kutokana na kiasi cha protini kinachopatikana katika maziwa yaliyochachushwa.

Hata hivyo, anasisitiza mtindi uliobora ni ule ulioandaliwa katika mazingira safi na salama.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In