Haji Manara “Wananchi Msiyumbishwe na Maneno ya Mitandaoni..Mwenzenu Nimejaliwa Moyo Mgumu wa Kustahmili Kashfa” – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, May 19, 2022
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Haji Manara “Wananchi Msiyumbishwe na Maneno ya Mitandaoni..Mwenzenu Nimejaliwa Moyo Mgumu wa Kustahmili Kashfa”

I am Krantz by I am Krantz
Mar 27, 2022
in MICHEZO
0
0
SHARES
42
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Msemaji wa Klabu ya Young Africans Haji Sunday Manara amewataka Mashabiki na Wanachama wa klabu hiyo kupuuza mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na katika baadhi ya vyombo vya habari, yenye lengo la kuwatoa kwenye malengo yao Msimu huu 2021/22.

Young Africans imeweka dhamira ya kutwaa Taji la Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu huu, baada ya kulikosa kwa misimu minne mfululizo kwa kushuhudia likienda kwa Watani zao wa Jadi Simba SC.

RelatedPosts

No Content Available
Load More

Manara amesema anaamini kuna makusudi inafanywa na baadhi ya watu ili kuikwamisha Young Africans isifikie lengo lake, hivyo amewasihi Mashabiki na Wanachama kuendelea kuwa kitu kimoja ili kufanikisha wanalolikusudia.

“Wananchi wenzangu, interest yetu iwe kushinda Championship msimu huu, iwe kushinda FA na iwe kukamilisha Transformation yetu, mengine ni ya kupuuza.”

“Nipo hapa kushirikiana na nyinyi kushinda Mataji, sipo hapa kujibizana na mtu, tuendelee kuwasamehe wanaotaka vurugu na malumbano coz bila kumtaja Haji kwa ubaya atamtaja nani?”

“Umoja wetu ndio nguvu tuliyonayo kwa sasa, tusijitoe relini kisa choyo, chuki na roho mbaya, tuwekeni maslahi mapana ya hii Taasisi.”

“Once again nawashukuru Wanayanga, mmenirudishia umri wangu nyuma, hamjawahi kuniacha toka nilipokuja Club hii kubwa, mwenzenu nimejaaliwa Moyo mgumu wa kustahmili kashfa na karaha na hiyo inanipa ujasiri mkubwa katika kazi zangu.” Amesema Haji Manara

ADVERTISEMENT

Young Africans inaongoza Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa na alama 48, huku ikiiacha Simba SC yenye alama 38 kwa tofauti ya alama 11, na tayari imeshatinga hatua ya Robo Fainali Kombe la Shirikisho ‘ASFC’.

Young Africans itacheza dhidi ya Geita Gold FC katika mchezo wa Robo Fainali ‘ASFC’ mapema mwezi April, Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es salaam.

Related

Tags: MANARA
ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

BMT YAPOKEA UJUMBE KUTOKA SHIRIKISHO LA DUNIA LA MCHEZO WA BASEBALL
HABARI

BMT YAPOKEA UJUMBE KUTOKA SHIRIKISHO LA DUNIA LA MCHEZO WA BASEBALL

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
NENDENI MKAPAMBANE TAIFA LINAWATEGEMEA WACHEZAJI
HABARI

NENDENI MKAPAMBANE TAIFA LINAWATEGEMEA WACHEZAJI

by Ally Hamis Zingizi
May 14, 2022
Manula Afunguka ni Wapi Atacheza Msimu Ujao..Azam Yatajwa
HABARI

Manula Afunguka ni Wapi Atacheza Msimu Ujao..Azam Yatajwa

by I am Krantz
Apr 29, 2022
Wema Sepetu Atoa Neno “Lulu Michael ni Mdogo Wangu Naweza Mpiga Hata KOFI, Mkiona Tunagombana Tulia”
BURUDANI

Wema Sepetu Atoa Neno “Lulu Michael ni Mdogo Wangu Naweza Mpiga Hata KOFI, Mkiona Tunagombana Tulia”

by I am Krantz
Apr 27, 2022
AKAUNTI YA DIAMOND YAFUTWAA YOUTUBE
BURUDANI

AKAUNTI YA DIAMOND YAFUTWAA YOUTUBE

by Ally Hamis Zingizi
Apr 25, 2022
Absa Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa kampeni ya Absa Card Assist ya ligi kuu ya Uingereza (EPL)
BIASHARA

Absa Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa kampeni ya Absa Card Assist ya ligi kuu ya Uingereza (EPL)

by Ally Hamis Zingizi
Apr 25, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In