ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, November 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Harusi ya Nandy na BILL Nass Mwezi wa Sita Mwaka Huu

I am Krantz by I am Krantz
Mar 29, 2022
in BURUDANI
0
Harusi ya Nandy na BILL Nass Mwezi wa Sita Mwaka Huu
0
SHARES
468
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter


Staa wa muziki wa Bongofleva, msanii @officialnandy akizungumza leo kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm, amefunguka kuwa yeye na mchumba wake @billnass hawaishi pamoja ila huwa wanatembeleana.
“Hatuishi pamoja na Billnass lakini huwa anakuja kulala kwangu na mimi nalala kwake huo ndio utaratibu na tayari ameshalipa mahari” – ameeleza Nandy.

Aidha Nandy amebainisha kuwa harusi yao ni mwezi wa SITA mwaka huu.

“Kabla ya harusi kutakuwa na sendoff, kitchen party, reception, usiku wa vyombo na singo. Wapare hatuna shughuli ndogo, harusi yangu itakuwa mwezi wa Sita” amesema.

ADVERTISEMENT

Kadhalika na mahusiano waliyonayo, wawili hao wamekuwa wakishirikisha sana katika muziki ambapo hadi sasa wameweza kutoka ngoma tatu pamoja, “Bugana”, “Do Me” na “Party”.

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

SERENGETI OCTOBA FEST YAMLETA JOSE CHAMELEONE NCHINI
BURUDANI

SERENGETI OCTOBA FEST YAMLETA JOSE CHAMELEONE NCHINI

by SUZO SHUKRANI
Oct 21, 2023
SmartUni App kutumiwa na wana AIESEC vyuoni Tanzania
BIASHARA

SmartUni App kutumiwa na wana AIESEC vyuoni Tanzania

by I am Krantz
Oct 13, 2023
UKWELI KUHUSU KIPI BORA MAPENZI AU PESA UKO HIVI
#CHUKUAHII

UKWELI KUHUSU KIPI BORA MAPENZI AU PESA UKO HIVI

by HIJA SELEMANI
Sep 5, 2023
SIKU YA KIMATAIFA YA HISANI: UMOJA MA USTAWI WA JAMII
BURUDANI

SIKU YA KIMATAIFA YA HISANI: UMOJA MA USTAWI WA JAMII

by HIJA SELEMANI
Sep 5, 2023
KWANINI WALI WA JOLLOF UNALIWA SANA IJUMAA AFRIKA MAGHARIBI
#CHUKUAHII

KWANINI WALI WA JOLLOF UNALIWA SANA IJUMAA AFRIKA MAGHARIBI

by HIJA SELEMANI
Sep 1, 2023
SEPTEMBA 1, 1939 GERMANY ILIIANGUSHA POLAND
#CHUKUAHII

SEPTEMBA 1, 1939 GERMANY ILIIANGUSHA POLAND

by HIJA SELEMANI
Sep 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TWEETS

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In