ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Harusi ya Nandy na BILL Nass Mwezi wa Sita Mwaka Huu

I am Krantz by I am Krantz
Mar 29, 2022
in BURUDANI
0
Harusi ya Nandy na BILL Nass Mwezi wa Sita Mwaka Huu
0
SHARES
239
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT


Staa wa muziki wa Bongofleva, msanii @officialnandy akizungumza leo kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm, amefunguka kuwa yeye na mchumba wake @billnass hawaishi pamoja ila huwa wanatembeleana.
“Hatuishi pamoja na Billnass lakini huwa anakuja kulala kwangu na mimi nalala kwake huo ndio utaratibu na tayari ameshalipa mahari” – ameeleza Nandy.

Aidha Nandy amebainisha kuwa harusi yao ni mwezi wa SITA mwaka huu.

RelatedPosts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

Mar 24, 2023

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

Mar 24, 2023

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

Mar 24, 2023
Load More
ADVERTISEMENT

“Kabla ya harusi kutakuwa na sendoff, kitchen party, reception, usiku wa vyombo na singo. Wapare hatuna shughuli ndogo, harusi yangu itakuwa mwezi wa Sita” amesema.

Kadhalika na mahusiano waliyonayo, wawili hao wamekuwa wakishirikisha sana katika muziki ambapo hadi sasa wameweza kutoka ngoma tatu pamoja, “Bugana”, “Do Me” na “Party”.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21
BURUDANI

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
CHUCHU HANS AZINDUA TAMTHILIA YAKE
BURUDANI

CHUCHU HANS AZINDUA TAMTHILIA YAKE

by ALFRED MTEWELE
Mar 22, 2023
MWANAMUZIKI AKA AFARIKI DUNIA KWA KUPIGWA RISASI
BURUDANI

MWANAMUZIKI AKA AFARIKI DUNIA KWA KUPIGWA RISASI

by Shabani Rapwi
Feb 11, 2023
DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”
BURUDANI

DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”

by ALFRED MTEWELE
Feb 7, 2023
BEYONCÉ AVUNJA REKODI TUZO ZA GRAMMY
BURUDANI

BEYONCÉ AVUNJA REKODI TUZO ZA GRAMMY

by Shabani Rapwi
Feb 6, 2023
TEMS ASHINDA TUZO YA GRAMMY, NI YA KWANZA KWA MSANII WA KIKE NIGERIA
BURUDANI

TEMS ASHINDA TUZO YA GRAMMY, NI YA KWANZA KWA MSANII WA KIKE NIGERIA

by ALFRED MTEWELE
Feb 6, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In