ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

“INATIA AIBU NA HAKI ZETU ZINACHEZEWA”….ZUCHU

I am Krantz by I am Krantz
Mar 20, 2022
in BURUDANI
0
“INATIA AIBU NA HAKI ZETU ZINACHEZEWA”….ZUCHU
0
SHARES
60
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mwimbaji wa Bongofleva, Zuchu amefunguka ya moyoni kwa yale ambayo anaona hayapo sawa kwenye tasnia ya muziki nchini Tanzania.

Zuchu amesema bado haki za wasanii zinachezewa lakini bado kuna watu wanafanya mzaha na kuwatumia wasanii kama daraja la kupata umaarufu. Kupitia Insta Story Zuchu ameandika;

RelatedPosts

No Content Available
Load More

Ni Tanzania pekee ndoa tuna industry ya muziki iliyojaa mzaha na vichekesho ndani yake. Inatia aibu maana hii mtandao tunaitumia kujichoresha kwa michezo ya kitoto tunayoicheza.

Mimi niwashukuru Watazania mlio wengi bila hata kushurutishwa mnajua mbivu na mbichi, mnatupambania sana wasanii wenu thats the only thing kinanipa nguvu sababu nyie ndo mnatuweka tulipo. But as for the industry yetu kwa ujumla inatia huruma na hasira.

ADVERTISEMENT

Imagine hata sehemu ya kufanya show za maana hatuna, haki zetu ndio hizo zinachezewa sandakalawe, tunafanywa daraja la watu wasiojali tasnia kupata umaarufu tu wa kupatia vipato.

cc @officialzuchu

Related

Tags: zuchu
ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

Wema Sepetu Atoa Neno “Lulu Michael ni Mdogo Wangu Naweza Mpiga Hata KOFI, Mkiona Tunagombana Tulia”
BURUDANI

Wema Sepetu Atoa Neno “Lulu Michael ni Mdogo Wangu Naweza Mpiga Hata KOFI, Mkiona Tunagombana Tulia”

by I am Krantz
Apr 27, 2022
AKAUNTI YA DIAMOND YAFUTWAA YOUTUBE
BURUDANI

AKAUNTI YA DIAMOND YAFUTWAA YOUTUBE

by Ally Hamis Zingizi
Apr 25, 2022
‘Wonder’ ya Diamond yapiga sekunde 59 bila ‘view’ YouTube, Harmonize akiweka rekodi ya sekunde 24 na ‘views’ 1.3M
BURUDANI

‘Wonder’ ya Diamond yapiga sekunde 59 bila ‘view’ YouTube, Harmonize akiweka rekodi ya sekunde 24 na ‘views’ 1.3M

by I am Krantz
Apr 20, 2022
RASIMU YA MAADHIMISHO YA MIAKA  25 YA ZIFF
BIASHARA

RASIMU YA MAADHIMISHO YA MIAKA  25 YA ZIFF

by Ally Hamis Zingizi
Apr 19, 2022
SINA UGONJWA WOWOTE
BURUDANI

SINA UGONJWA WOWOTE

by Ally Hamis Zingizi
Apr 17, 2022
MARCUS RASHFORD MECHI 300 AKIWA UNITED
BURUDANI

MARCUS RASHFORD MECHI 300 AKIWA UNITED

by Ally Hamis Zingizi
Apr 16, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In