ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Mhasibu aliyeshtakiwa kuiba mil. 102/- aachiwa huru

I am Krantz by I am Krantz
Mar 23, 2022
in HABARI
0
Mhasibu aliyeshtakiwa kuiba mil. 102/- aachiwa huru
0
SHARES
114
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mshtakiwa huyo aliachiwa huru jana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Yusto Luboroga, baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.

Akisoma hukumu hiyo, alisema upande wa mashtaka ulikuwa na mashahidi 10 na mshtakiwa alijitetea mwenyewe.
Hakimu Luboroga alisema katika ushahidi uliotolewa na mashahidi hao, hakuna ushahidi ulioweza kumtia hatiani mshtakiwa, Mhasibu alipotoa ushahidi wake mahakamani alikana kuiba fedha hizo.

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More

Mshtakiwa katika utetezi wake alidai kutoiba fedha hizo kwa kuwa yeye sio mweka saini na hakuwa na uwezo wa kuchukua fedha hizo, pia katika kipindi hicho hapakuwa na huduma ya fedha katika simu yaani simbanking.

Hakimu alisema mhasibu huyo pia alisema miamala yote iliyokuwa ikifanyika ilikuwa ikitumwa katika mfumo wa malipo na ilikuwa ikionekana na mahakama ilihitaji kuona nakala za miamala hiyo, lakini upande wa mashtaka ulishindwa kuwasilisha.

ADVERTISEMENT

“Hakuna ushahidi ulioonesha kwamba fedha zilipotea bali imeonekana mshtakiwa alichanganya miamala badala ya kuingiza kwa X ameingiza kwa Y, hivyo mahakama inaona mshtakiwa hakuiba,” alisema.

Alisema kutokana na hali hiyo mahakama imeona upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha mashtaka dhidi ya mshtakiwa na inamwachia huru.

Katika kesi hiyo mshtakiwa alikuwa akikabiliwa na mashtaka 15, 14 kati hayo yakiwa ya kughushi miamala ya fedha na moja la wizi wa kiasi hicho cha fedha.

Katika shtaka la wizi ilidaiwa kwamba kati ya Januari hadi Septemba mwaka 2013 katika Kampuni ya SCI Tanzania Ltd, Upanga, Monica aliiba Sh. milioni 102 mali ya Kampuni hiyo zilizofika kwake kutokana na nafasi yake ya kuajiriwa.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In