ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Mtoto wa Museveni anaunga mkono uvamizi wa Urusi nchini Ukraine

I am Krantz by I am Krantz
Mar 2, 2022
in HABARI
0
Mtoto wa Museveni anaunga mkono uvamizi wa Urusi nchini Ukraine
0
SHARES
55
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mtoto mwenye nguvu kiutawala wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ameelezea kuunga mkono uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Jenerali Kainerugaba – ambaye ni kamanda wa majeshi ya nchi kavu ya Uganda – aliweka ujumbe kwenye mtandao wa Twitter, kwamba ” “binadamu wengi (ambao si wazungu) wanaunga mkono msimamo wa Urusi nchini Ukraine”.

“Putin yuko sahihi kabisa!” aliongeza.

RelatedPosts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

May 22, 2022

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

May 22, 2022

MANULA AKATWA NA KIOO

May 22, 2022
Load More

“Wakati USSR ilipoweka makombora yenye silaha za nyuklia nchini Cuba mwaka 1962, nchi za Magharibi zilikuwa tayari kulipua ulimwengu juu yake. Sasa Nato ikifanya hivyo wanatarajia Urusi kufanya tofauti.”

ADVERTISEMENT

Jenerali Kainerugaba ndiye afisa mkuu wa kwanza wa kijeshi barani Afrika kuunga mkono hadharani uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

Anasemekana kuwa anaweza kuwa mrithi wa babake mwenye umri wa miaka 77, ambaye amekuwa madarakani tangu 1986.

Umoja wa kanda ya Afrika Magharibi Ecowas umelaani uvamizi wa Urusi, huku Umoja wa Afrika ukiitaka Moscow kuheshimu “eneo la uadilifu.

Wizara ya mambo ya nje ya Afrika Kusini imetoa wito wa kuondolewa kwa wanajeshi wa Urusi kutoka Ukraine.

Jenerali Kainerugaba pia alimtuma tena ujumbe wa mwanahabari mashuhuri wa Uganda Andrew Mwenda, ambaye alisema kwamba hata “mgeni katika siasa za kimataifa anaweza kuona kwamba Moscow haiwezi kamwe kuruhusu Ukraine kujitosa kwa Nato, EU, kwa sababu inaleta tishio kwa Urusi!

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA
HABARI

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
HABARI

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
MANULA AKATWA NA KIOO
HABARI

MANULA AKATWA NA KIOO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
NAMUNGO WAPEWA ALAMA TATU, KOCHA MAKATA AFUNGIWA MIAKA MITANO
HABARI

MAKATA, NAFTARI WAOMBA RADHI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA
HABARI

VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO
HABARI

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In