Kwa majina naitwa Francis Daniel naishi maeneo ya Kisarawe mkoani Dodoma
nimepanga nyumba maeneo hayo nikiwa mimi na rafiki yangu aitwaye Regan Ishimwe,
mimi ninafanya kazi katika kampuni moja hapa mjini Dodoma, lakini rafiki yangu bado
hajapata kazi kwa kuwa amekuja kutokea kijijini siku chache nyuma.
Maisha yalienda kama kawaida na kwa kuwa rafiki yangu alikuwa bado hajapata kazi nilikua
namsaidia kwa kila kitu kwanzia mavazi, malazi na chakula nikitegemea siku moja atapata
kazi na kuanza kujisaidia yeye mwenyewe.
Siku zilienda alikua bado hajapata kazi lakini niliendelea kumsaidia kwa moyo mmoja kwani
nilishazoea sasa kufanya hivyo huku nikiamini ipo siku yake tu rafiki yangu huyu mungu
atamfungulia njia na kujipatia sehemu ambayo ataanza kuingiza riziki katika upande wake.
Siku moja nilikuwa mjini ndipo rafiki yangu regan alinipigia simu na kutaka
nimkopeshe laki tano kwa minajili ya dharura aliyokuwa nayo nilimfahamisha kuwa
kwa sasa sina hiko kiasi cha pesa na aliitikia kwa shingo upande, nikakata simu.
Regan hakuelewa hilo Bali yeye alidhani nimekataa kumsaidia hela hizo, Na kwa
sababu alikuwa na ufunguo mwingine wa nyumba, alienda kwangu nakuanza
kutafuta pesa akakuta nimeacha kadi yangu kwa bahati mbaya siku hio niliisahau na
Kwa haraka alielekea benki ya karibu na kwa sababu alinifahamu vyema alitumia
mwaka wangu wa kuzaliwa na akafaulu kufungua.
Baadae alinipigia simu na kuniambia amezitoa kiasi cha laki 8 ambazo zilikuwa pesa
zangu za akiba nilizokua nimeifadhi kwa ajili ya maendeleo kadha wa kadhana
nilipanga kumlipia mdogo wangu karo ya shule.
Hakuishia hapo aliendelea na kuniambia kwa sababu nilikuwa rafiki yake wa dhati na
nilikataa kumwazima hela basi amesha zipata na sitowahi kumwona tena katika
macho yangu na akakata simu, nilipojaribu kumpigia hakupatikana tena.
Jambo Hilo lilinipa kiwewe kwani hela hizo nilikua na mipango mingi niliyohitaji
kutimiza, kwanza kabisa nilikua nahitaji kuweza kulipa ada ya mdogo wangu
aliyekua shuleni, ilinibidi kuweza kusitisha mipango hiyo yote kwa kukosa hela.
Nilienda kituo Cha polisi Mara kwa Mara kwa kutumaini kuwa maafisa wa polisi
wangenisaidia kuweza kumnasa ili niweze kumpata mwizi huyo bali hawakuweza,
walichokifanya ni kunipa ahadi za uongo. Kibaya ni kuwa Maafisa hao Mara kwa
Mara walishinda kutaka rushwa ili waweze kulishughulikia Jambo langu kwa haraka
zaidi.
Siku moja Nilipokuwa natoka kituo cha polisi nilikuwa mnyonge ghafla bin vuu
nilikutana na mama mmoja aliniuliza mbona nina hofu nikamweleza kilichonipata
naye akanieleza kuhusu kiwanga doctors ambao husaidia watu kupata vitu au pesa
zao zilizopotea.
Sikupoteza muda nilichukuwa namba zao nikawapigia na kuwaambia maswahibu
yangu na wakanieleza nisiwe na hofu pesa zitarudi. Madaktari hao wa kiwanga
waliweza kufanya ganga ganga zao na kuniarifu kua ningepata pesa hizo kwa
urahisi sana.
Siku iliyofwata nilipigiwa simu na rafiki yangu yule aliyeniibia pesa zang na
alionekana mwenye huzuni na kilio kingi, aliniarifu kua ananiomba msamaha kwa
yote aliyonitendea na anataka kuzirudisha pesa hizo alizokua ameziiba kutoka
kwenye akaunti yangu, aliongeza kuwa aliyaona mambo yasiyokua ya kawaida
katika maisha yake.
kwani alizisikia sauti zisizo za kawaida ambazo zilikua zikimwamulisha azirudishe
pesa hizo alizoziiba, Kwa kilio aliniomba nisitishe hayo mambo, nilimsamehe na siku
iliyofwatia asubuhi na mapema nilisikia mlango wangu ukibishwa, nilipoenda
kuangalia nilimkuta rafiki yangu Regan akiwa na hela zote alizoiba akiwa
amezirejesha kwangu.
baadaye niliweza kuwasiliana na Daktari Kiwanga na kumwarifu niliweza kuzipata
hela hizo,
Na hapa ningependa kutoa wosia kwa yeyote uule mwenye matatizo ya wizi kuweza
kumtembelea Daktari wa kiasili Kiwanga kuweza kupata suluhisho kwa matatizo
haya. Madaktari wa kiwanga pia hutibu magonjwa mbalimbali ikiwemo Kifafa,
Kifaduro na Saratani ya mapafu pia wanatatua Matatizo ya kimapenzi, kuongeza
urefu wa Mpini kwa wanaume na matatizo mengine mengi. Waweza kumfikia
Daktari Kiwanga kupitia wavuti www.kiwangadoctors.com / Pia waweza kumpigia
au Whatsapp kwa Nambari +254 769404965 barua pepe;
kiwangadoctors@mail.com.
.