Simba yawalaza Berkane 1-0 Dsm – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Monday, May 16, 2022
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Simba yawalaza Berkane 1-0 Dsm

I am Krantz by I am Krantz
Mar 14, 2022
in MICHEZO
0
Simba yawalaza Berkane 1-0 Dsm
0
SHARES
43
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Klabu ya Simba imejikita kileleni kwenye msimamo wa kundi D la kombe la shirikisho barani afrika baada ya kuchomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya klabu ya Rs Berkane ya Morocco kwenye mchezo uliofanyika katika dimba la Benjamin Mkapa jiji Dar es Salaam.
Mchezo huo ambao ulikuwa ni mzunguko wa nne wa kundi hilo ,goli la Simba lilifungwa na kiungo mshambuliaji kutoka Senegal Pape Ousmane Sakho dakika ya 44 na kuwafanya klabu ya Simba kufikisha alama 7 na kuwashusha RS Berkane waliokuwa wanaongoza wakiwa na alama 6.

Nyota wa Simba Cloutas Chama ambaye kanuni za mashindano zinabana kushiriki mashandano haya kutokana na jina lake kujumuishwa kwenye usajili wa RS Berkane amesema ushindi huu unawapa nguvu ya kuipigania nembo ya klabu ya Simba kimataifa zaidi.

RelatedPosts

WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE

WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE

May 16, 2022

WAZIRI MULAMULA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO U.A.E

May 16, 2022

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA ABU DHABI FALME ZA KIARABU

May 16, 2022
Load More

“tunacheza mechi kwa ajili ya kuipambania klabu yetu na ushindi huu umetupa nafasi kubwa kwenye kundi letu na tutaendelea hivyo hivyo na sasa kundi lipo wazi na tunapaswa kupambana ili kufanya vizuri kwenye michezo inayokuja”amesema Chama

Simba sasa imesaliwa na michezo miwili kwa ajili ya kukamilisha hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika huku mchezo unaofuata Simba wakisafiri kuwafuata klabu ya Asec Mimosas ya Ivory Coast watakaocheza nao mnamo March 20 mjini Abidjan.

Related

I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

NENDENI MKAPAMBANE TAIFA LINAWATEGEMEA WACHEZAJI
HABARI

NENDENI MKAPAMBANE TAIFA LINAWATEGEMEA WACHEZAJI

by ALLY ZINGIZI
May 14, 2022
Manula Afunguka ni Wapi Atacheza Msimu Ujao..Azam Yatajwa
HABARI

Manula Afunguka ni Wapi Atacheza Msimu Ujao..Azam Yatajwa

by I am Krantz
Apr 29, 2022
Wema Sepetu Atoa Neno “Lulu Michael ni Mdogo Wangu Naweza Mpiga Hata KOFI, Mkiona Tunagombana Tulia”
BURUDANI

Wema Sepetu Atoa Neno “Lulu Michael ni Mdogo Wangu Naweza Mpiga Hata KOFI, Mkiona Tunagombana Tulia”

by I am Krantz
Apr 27, 2022
AKAUNTI YA DIAMOND YAFUTWAA YOUTUBE
BURUDANI

AKAUNTI YA DIAMOND YAFUTWAA YOUTUBE

by ALLY ZINGIZI
Apr 25, 2022
Absa Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa kampeni ya Absa Card Assist ya ligi kuu ya Uingereza (EPL)
BIASHARA

Absa Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa kampeni ya Absa Card Assist ya ligi kuu ya Uingereza (EPL)

by ALLY ZINGIZI
Apr 25, 2022
Mo Salah Avunja Rekodi ya Ozil Dhidi ya United
MICHEZO

Mo Salah Avunja Rekodi ya Ozil Dhidi ya United

by I am Krantz
Apr 22, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In