Taasisi za Green Kids and Youth Foundation na Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) zaleta neema kwa wanawake – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Thursday, May 19, 2022
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Taasisi za Green Kids and Youth Foundation na Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) zaleta neema kwa wanawake

Ally Hamis Zingizi by Ally Hamis Zingizi
Mar 8, 2022
in BIASHARA, HABARI
0
Taasisi za Green Kids and Youth Foundation na Open Mind and Thoughts Organization (OMTO) zaleta neema kwa wanawake
0
SHARES
66
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Mkurugenzi wa Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation, Vailet  Samson Mwazembe akizungumza na wanawake wajasiriamali somo la haki za mwanamke katika jamii wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani  yaliyoandaliwa na Taasisi hiyo pamoja na  Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO)  jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo yalikusanya kata za Kitunda, Kivule na Mzinga pamoja na kuzindua mfumo wa maendeleo wa wanawake wa kata hizo.

Rais Mstaafu wa Vicoba Endelevu, Devotha Likokola ( katikati) akisindikizwa akiingia katika ukumbi wa Lukolo Inn wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation na Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO)  jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi wa Omto, Anna Haule.

Mabibi Maendeleo wa kata za Kitunda, Kivule na Mzinga wakiserebuka wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation na Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO)  jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo yalizindua mfumo wa maendeleo wa wanawake wa kata hizo utakao wezesha wajasiriamali kuwa na pensheni za uzeeni.

Rais Mstaafu wa Vicoba Endelevu, Devotha Likokola akizungumza na wanawake wajasiriamali somo la kujitambua mwanamke katika jamii wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation na Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO)  jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo yalikusanya kata za Kitunda, Kivule na Mzinga pamoja na kuzindua mfumo wa maendeleo wa wanawake wa kata hizo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gimero and Sons Limited, Anita Waitara akizungumza na wanawake wajasiriamali somo la thamani ya mwanamke katika jamii wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani  yaliyoandaliwa na Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation na  Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO)  jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo yalikusanya kata za Kitunda, Kivule na Mzinga pamoja na kuzindua mfumo wa maendeleo wa wanawake wa kata hizo.

Mmiliki wa Ukumbi wa Lukolo Inn, Anita Lukolo akitoa somo la nidhamu ya uwekezaji katika hafla hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gimero and Sons Limited, Anita Waitara akikata keki kuashiria uzinduzi wa mfumo wa maendeleo wa wanawake wa kata za Kitunda, Kivule na Mzinga utakao wawezesha wajasiriamali kuwa na pensheni za uzeeni wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation na Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO)  yaliyofanyika katika ukumbi wa Lukolo Inn  jijini Dar es Salaam jana.

Mkurugenzi wa Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation, Vailet  Samson Mwazembe ( kulia) na Mkurugenzi waTaasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule wakilishana keki kuashiria uzinduzi wa mfumo wa maendeleo wa wanawake wa kata za Kitunda, Kivule na Mzinga utakao wawezesha wajasiriamali kuwa na pensheni za uzeeni wakati wa wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na taasisi hizo jijini Dar es  Salaam jana.

Baadhi ya wanawake wajasiriamali wakihudhuria katika hafla hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya GS1, Fatma Kange ( katikati), Rais Mstaafu wa Vicoba Endelevu, Devotha Likokola na Mkurugenzi waTaasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule wakiongozana wakati wa maadhimisho hayo.

RelatedPosts

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA

May 19, 2022

NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU

May 19, 2022

NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU

May 19, 2022
Load More

Mkurugenzi waTaasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza na wanawake wajasiriamali wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani  yaliyoandaliwa na Taasisi hiyo pamoja na  Taasisi ya kutoa Elimu kwa vijana na watoto kutambua vipaji vyao ya Green Kids and Youth Foundation jijini Dar es Salaam jana.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gimero and Sons Limited, Anita Waitara (waliokaa katikati) akipiga picha ya pamoja na viongozi waalikwa pamoja kamati iliyiowezesha maadhimisho jhayo jijini Dar es Salaam jana.

Related

ADVERTISEMENT
Ally Hamis Zingizi

Ally Hamis Zingizi

Related Posts

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA
BIASHARA

WATANZANIA TAYARI KULIPIA BIMA YA AFYA

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU
HABARI

NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU

by I am Krantz
May 19, 2022
NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU
BIASHARA

NMB FOUNDATION YATANGAZA UFADHILI SEKONDARI KIDATO CHA TANO , SITA NA ELIMU YA JUU

by I am Krantz
May 19, 2022
“PANYA ROAD” KAENI CHONJO SERIKALI IPO KAZINI
HABARI

“PANYA ROAD” KAENI CHONJO SERIKALI IPO KAZINI

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
RAIS SAMIA AMETOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA
HABARI

RAIS SAMIA AMETOA KIPAUMBELE CHA AJIRA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022
WATEJA WA HALOTEL KUJIPATIA ZAWADI KUPITIA MATUMIZI YA MTANDAO
BIASHARA

WATEJA WA HALOTEL KUJIPATIA ZAWADI KUPITIA MATUMIZI YA MTANDAO

by Ally Hamis Zingizi
May 19, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In