ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Ukraine haiko tayari kusalimisha eneo lake lolote kwa Urusi- mshauri wa Zelensky

I am Krantz by I am Krantz
Mar 28, 2022
in HABARI
0
Ukraine haiko tayari kusalimisha eneo lake lolote kwa Urusi- mshauri wa Zelensky
0
SHARES
27
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mshauri mkuu wa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ameambia kipindi cha BBC Radio 4’s World at One kwamba Ukraine “haiko tayari kuacha eneo lolote”.

Akizungumza katika mkesha wa mazungumzo zaidi kati ya Urusi na Ukraine, Alexander Rodnyansky alisema “sasa shinikizo ni kwa Urusi”.

RelatedPosts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

May 22, 2022

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

May 22, 2022

MANULA AKATWA NA KIOO

May 22, 2022
Load More

“Ni wazi, hawawezi kuendeleza vita hivi kwa miaka mingi na ari yao iko chini sana hata hawawezi kuendelea kuviopa vikosi vyao vifaa kuendelea na mapigano,” alisema.

ADVERTISEMENT

Bw Rodnyansky, ambaye pia ni profesa msaidizi wa uchumi katika Chuo Kikuu cha Cambridge, alisema Ukraine haitasilimisha “uadilifu wa kieneo”.

Quote Message: Ukiwauliza watu wanaoishi katika maeneo haya, hawataki kuishi Urusi. Je, tunawezaje kuwaacha? Achilia mbali wazo zima la kuikata nchi yetu from Alexander Rodnyansky Mshauri Mkuu wa Volodymyr Zelensky wa Ukraine

Ukiwauliza watu wanaoishi katika maeneo haya, hawataki kuishi Urusi. Je, tunawezaje kuwaacha? Achilia mbali wazo zima la kuikata nchi yetu

Alexander Rodnyansky

Mshauri Mkuu wa Volodymyr Zelensky wa Ukraine

Alipendekeza toleo “halisi zaidi” la “mkataba wa Budapest” – ambalo liliipa Ukraine hakikisho la usalama – lingekuwa muhimu kufikia amani.

“Mkataba wa Budapest ulipaswa kuhakikisha usalama wetu kwa malipo ya kuacha silaha za nyuklia katika miaka ya 90.

“Inabidi iwe kitu kama hicho ambapo hatua zingebainishwa, ni nchi gani hasa zingechukua hatua kwa njia gani ikiwa usalama wako unatishiwa.”

Lakini alionya kwamba uwezekano wa kuhusika kwa nchi za Nato katika mapatano kama hayo itakuwa “suala tete”.

“Ndio maana mazungumzo sio rahisi, kwa sababu haungependa kuanzisha Kifungu cha 5, kimsingi, kuvuta Nato yote kwenye mzozo na Urusi.

“Hiyo ndiyo [ambayo] nchi za Nato hazitaki kutokea na ndiyo maana mazungumzo bado yanaendelea.”

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA
HABARI

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
HABARI

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
MANULA AKATWA NA KIOO
HABARI

MANULA AKATWA NA KIOO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
NAMUNGO WAPEWA ALAMA TATU, KOCHA MAKATA AFUNGIWA MIAKA MITANO
HABARI

MAKATA, NAFTARI WAOMBA RADHI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA
HABARI

VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO
HABARI

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In