ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Uwajibikaji wa NMB kwa jamii wagusa wengi Tabora, Kigoma na Shinyanga

I am Krantz by I am Krantz
Mar 23, 2022
in HABARI
0
Uwajibikaji wa NMB kwa jamii wagusa wengi Tabora, Kigoma na Shinyanga
0
SHARES
29
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT



Wanafunzi wa shule ya Sekondari Nkundutsi iliyopo Kasulu, Kigoma wakiwa wamekalia viti na kutumia meza viilivyotolewa kwa shule hiyo na Benki ya NMB.


Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Uhuru ya Shinyanga mjini wakiwa wamekalia viti na kutumia meza vilivyotolewa kwa shule hiyo na Benki ya NMB kama msaada kupunguza uhaba wa vifaa hivyo.

RelatedPosts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

May 21, 2022

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

May 21, 2022

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

May 21, 2022
Load More

Moja ya sababu kubwa ya kuifanya Benki ya NMB kuendelea kuwa benki kubwa na kinara katika utoaji wa huduma za fedha hapa nchini ni jinsi benki hii ilivyo jitoa katika kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii yetu.

ADVERTISEMENT

Kwa namna ya kipekee, benki hii imekuwa ikishiriki katika masuala mbalimbali hususani katika sekta ya afya na elimu.
Kama ilivyo katika mikoa mingine yote nchini, mikoa ya Tabora, Kigoma na Shinyanga imekuwa wanufaika wakubwa wa namna benki hii inavyowajibika kwa jamii.

Ziara maalum ya watumishi wa Benki ya NMB katika mikoa hii wameshuhudia wanufaika wa misaada hiyo wakieleza namna ambavyo mchango wa NMB katika taasisi zao umekuwa chachu ya hatua kubwa sana za kimaendeleo kwao na jamii kwa ujumla.

Kwa mwaka 2021 mikoa hii ya Tabora, Shinyanga na Kigoma, jumla ya shule 23 zilipata madawati na kusaidia katika kuwatengenezea mazingira mazuri ya kusomea kwa wanafunzi. Hii imekuwa chachu ya ufaulu na kupunguza utoro kwa wanafunzi kwani wengi wao sasa hukaa katika madawati na madarasa yalioezekwa.


Sehemu ya Vitanda vilivyotolewa na Benki ya NMB kwa Hospitali ya Wilaya ya Kaliua Mkoa wa Tabora.

Vilevile, taasisi 12 zilipata vifaa vya kuezeka huku vituo vya afya vinne vikipata vifaa tiba vinavyosaidia na kurahisisha utoaji wa huduma za afya kwa wakazi wa maeneo hayo.

Vifaa vya hospitali vilivyotolewa katika hospitali na vituo vya afya mbalimbali katika mikoa hiyo, vimekuwa chachu ya kuongeza idadi ya wagonjwa wanaohudumiwa kwa ufasaha pamoja na kupunguza changamoto walizokuwa wanakumbana nazo. Suala la wagonjwa kulala wawili wawili katika vitanda linamalizwa na vitanda vinayotolewa na taasisi hii ya fedha kubwa zaidi nchini.

Mashuka, vitanda vya kujifungulia, vifaa vya kuezeka ni vitu vingine pia ambavyo benki ya NMB imekuwa ikitoa kwa Hospitali na vituo vya afya katika mikoa ya Tabora, Kigoma na Shinyanga. Hospitali za wilaya na hata zahanati zimekuwa wanufaika wakubwa sana wa uwajibikaji huu wa NMB kwa jamii.

End

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA
HABARI

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
HABARI

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI
HABARI

JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA
HABARI

ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA
HABARI

BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In