ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

WAFANYAKAZI WANAWAKE WA BARRICK NORTH MARA NA BULYANHULU WAJENGEWA UWEZO MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE

I am Krantz by I am Krantz
Mar 8, 2022
in HABARI
0
WAFANYAKAZI WANAWAKE WA BARRICK NORTH MARA NA BULYANHULU WAJENGEWA UWEZO MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE
0
SHARES
136
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

Mar 24, 2023

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

Mar 24, 2023

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

Mar 24, 2023
Load More

Wafanyakazi wanawake wa Barrick wakifurahia Siku ya wanawake baada ya kupata mafunzo ya kuwajengea uwezo.
Baadhi ya wafanyakazi wanawake wa Barrick wakikata keki kusheherekea Siku ya Wanawake duniani

****
Katika kuelekea Siku ya wanawake Duniani 2022,Kampuni ya Barrick imeandaa semina ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wake wanawake katika migodi ya North Mara na Bulyanhulu. 

Semina hizo zimejikita kuwawezesha kujua haki zao za msingi sambamba na kuwawezesha kujiamini katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku.

Barrick imeweka mkazo kwa kuongeza ajira za Wanawake katika sekta ya madini ambayo kwa jadi ilikuwa inatawaliwa na Wanaume kupitia mpango unaolenga kampeni ya ajira na mipango ya maendeleo kuwawezesha katika ngazi zote za kampuni.

Wafanyakazi wanawake wa Barrick na wadau wake pia waliweza kushiriki katika kongamano la wanawake mkoani Shinyanga, ambalo limeendana na uzinduzi wa jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi, ambalo limekutanisha wanawake wa mkoa huo kujadili fursa mbalimbali za kiuchumi na upataji wa haki zao.

Kongamano hilo limefanyika wilayani Kahama, kwa kukutanisha wanawake wote wa Mkoa wa Shinyanga, limeandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Mjema katika kuelekea kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Machi 8.

Wafanyakazi pia mbali na kujengewa uwezo walipata fursa ya kusherekea kwa kupata burudani kutoka kwa msanii mkongwe wa taarabu nchini Hadija Kopa.
Afisa Mwandamizi wa Mahusiano ya Jamii wa Barrick Bulyanhulu, Zuwena Senkondo, akiongea katika hafla ya Wanawake katika kuelekea kuadhimisha siku ya wanawake duniani
Wafanyakazi wakifurahia siku ya wanawake duniani
ASP Fatma Mtalimbo kutoka dawati la jinsia katika Jeshi la Polisi akiendesha semina kwa wafanyakazi wanawake wa Barrick katika mgodi wa North Mara kuelekea Siku ya Wanawake Duniani. Barrick imebadili mwelekeo wa kijinsia katika sekta ya madini
Mmoja wa wafanyakazi wa barrick Bulyanhulu akichangia mada wakati wa semina hiyo
Baadhi ya wafanyakazi wa Bulyanhulu wakiwa katika picha ya pamoja na msanii nguli wa taarabu nchini Hadija Kopa wakati wa hafla ya kusherekea siku ya wanawake duniani
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE
HABARI

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA
HABARI

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII
HABARI

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI
HABARI

WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI
HABARI

MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC
HABARI

BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC

by I am Krantz
Mar 24, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In