ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Wamiliki Hoteli Za Kitalii Z’bar Wapewa Siku 7

I am Krantz by I am Krantz
Mar 18, 2022
in HABARI
0
Wamiliki Hoteli Za Kitalii Z’bar Wapewa Siku 7
0
SHARES
49
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

WAMILIKI wa hoteli kubwa za kitalii wamepewa muda wa siku saba kujiunga na mifumo ya kodi inayotumiwa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) ili kudhibiti ukwepaji kodi.
Agizo hilo lilitolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango, Dk Sada Mkuya wakati alipokutana na wamiliki wa hoteli za kitalii kwa ajili ya kuona ukusanyaji wa mapato ya serikali unakwenda kwa mujibu wa sheria za kodi.

Alisema uchunguzi unaonesha baadhi ya wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wamiliki wa hoteli za kitalii hawajajiunga na mifuko ya ukusanyaji wa mapato ya serikali jambo ambalo halikubaliki kisheria.

RelatedPosts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

May 21, 2022

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

May 21, 2022

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

May 21, 2022
Load More

Alisema serikali imeanzisha mifumo hiyo na kuitungia sheria za kodi kwa lengo la kuona kodi zinakusanywa ipasavyo na zinatumika vizuri.

ADVERTISEMENT

‘’Wamiliki wa hoteli za kitalii natoa muda wa siku saba kuhakikisha mnatumia mifumo ya kulipa kodi kwa mujibu wa sheria hatua ambayo itasaidia serikali kupata kodi zake sahihi,” alisema.

Aidha, Mkuya aliwataka watumishi wa Bodi ya Mapato Zanzibar kufanya ukaguzi wa kodi kwenye hoteli za kitalii ili kudhibiti wamiliki wanaokiuka sheria za ukusanyaji wa kodi. ‘’Kazi ya ukaguzi kwa wafanyabiashara na wamiliki wa mahoteli nataka muifanye mara kwa mara kwa sababu wapo wanaokwepa kodi na kufanya ujanja,’’ alisema.

Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar, Yussuf Mwenda alisema wamejipanga kuhakikisha wanakusanya kodi ipasavyo na kuziba mianya yote iliyokuwa ikivujisha mapato.

Alisema wameanza kuwakagua wafanyabiashara wote kuona kama wanatumia mfumo unaokubalika wa kufanya malipo ya serikali kwa mujibu wa sheria.

Meneja wa hoteli ya kitalii ya Malindi, Mohamed Ismail alisema wapo tayari kutumia mifumo halali ya kodi inayotumika kwa malipo ya serikali.

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA
HABARI

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
HABARI

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI
HABARI

JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA
HABARI

ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA
HABARI

BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

March 2022
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
28293031  
« Feb   Apr »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In