ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, March 22, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Pablo Anena Ushindi Dhidi ya Orlando Kisha Aguna “Tumejiweka Pazuri ila Kwao mmh”

I am Krantz by I am Krantz
Apr 20, 2022
in MICHEZO
0
Pablo Anena Ushindi Dhidi ya Orlando Kisha Aguna “Tumejiweka Pazuri ila Kwao mmh”
0
SHARES
136
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi furaha yake ya ushindi wa bao moja nyumbani waliopata dhidi Orlando Pirates akisema unampa faida kwenye mchezo wa marudiano wiki ijayo nchini Afrika Kusini.

Pablo amesema michuano ya Afrika ni migumu hivyo unapaswa kutumia vema uwanja wa nyumbani ili kujiweka katika mazingira mazuri kwenye mchezo wa marudiano.

RelatedPosts

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

Mar 21, 2023

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

Mar 21, 2023

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

Mar 21, 2023
Load More

Pablo ameongeza kuwa wanatarajia kupata upinzani mkubwa kutoka kwa Orlando kwenye mchezo wa marudiano lakini wamejipanga kuhakikisha wanaenda kufanya vizuri ugenini.

ADVERTISEMENT

Pablo amekiri kuwa hawakuwa na matokeo mazuri kwenye mechi za ugenini katika hatua ya makundi kwa hiyo wanapaswa kujipanga hasa kutokana na ubora wa wapinzani.

“Michuano ya Afrika mara nyingi timu zinafanya vizuri nyumbani kama tulivyofanya. Tutajipanga kuelekea mchezo wa marudiano ugenini tunahitaji kufuzu nusu fainali,” amesema Pablo.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’
MICHEZO

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

by ALFRED MTEWELE
Mar 21, 2023
HAALAND KUIKOSA HISPANIA
MICHEZO

HAALAND KUIKOSA HISPANIA

by ALFRED MTEWELE
Mar 21, 2023
MUSONDA AHUSIKA ZAIDI YANGA KUTINGA ROBO FAINALI CAFCC
MICHEZO

MUSONDA AHUSIKA ZAIDI YANGA KUTINGA ROBO FAINALI CAFCC

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
YANGA YAFANYA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU DAR
MICHEZO

YANGA YAFANYA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU DAR

by ALFRED MTEWELE
Mar 17, 2023
MSEMAJI SINGIDA BS AKANUSHA BRUNO KUTUA YANGA
MICHEZO

MSEMAJI SINGIDA BS AKANUSHA BRUNO KUTUA YANGA

by ALFRED MTEWELE
Mar 17, 2023
RASHFORD AJIWEKEA REKODI NZURI BARANI ULAYA
MICHEZO

RASHFORD AJIWEKEA REKODI NZURI BARANI ULAYA

by ALFRED MTEWELE
Mar 17, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In