Wakala maarufu wa Wachezaji soka mbalimbali duniani kama Paul Pogba na Zlatan Ibrahimovic anayejulikana kwa jina la Mino Raiola raia wa Italia amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 54.
Taarifa hizo zimethibitishwa na familia yake kupitia account yake ya twitter.
Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com
Follow Us
All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.
All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.