ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

CHONGOLO ATOA MAGIZO MAZITO KWA MAKATIBU WA CCM

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 20, 2022
in HABARI
0
CHONGOLO ATOA MAGIZO MAZITO KWA MAKATIBU WA CCM
0
SHARES
210
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Daniel Chongolo amesema wakati huu Chama hicho kikiwa kwenye Mchakato wa Uchaguzi wa Ndani, kimetoa fursa na haki sawa ya Kuchagua na Kuchaguliwa, hivyo ni aibu kuona baadhi ya Wasimamizi kuamua kwa maslahi yao Binafsi Kuiminya haki hiyo isiwafikie Wana CCM.

Kufuatia hali hiyo Katibu Mkuu huyo wa CCM, amepiga marufuku Urasimu huo akitaka Makatibu wa Matawi wa Chama hicho kutowanyima fomu za Kugombea nafasi mbalimbali kwenye Chama hicho kwa ajili ya Kulinda maslahi yao Binafsi.

Chongolo ametoa kauli hiyo leo Jijini Dar es Salaam wakati wa Ziara yake iliyolenga kuzungumza na halmashauri kuu za Wilaya ya Ubungo na Kinondoni.


“Ninawaagiza Makatibu wa wilaya zote nchini, maeneo yote ambayo tumebaini yana changamoto ya watu kunyimwa kuchukua fomu za kugombea ndani ya chama, tunarudisha zoezi la kutoa fomu, tunataka wale wote wenye dhamira ya kuchukua fomu wachukue bila kuwekewa vizuizi, hiki sio chama cha mtu, hiki sio chama cha maslahi binafsi, hiki chama ni cha wanachama, na ni lazima tutende haki kwa kuwa katiba yetu ya CCM inatutaka tufanye hivyo” amesisitiza Chongolo.

ADVERTISEMENT

Pia amesema kwenye maeneo kadhaa ikiwemo Ubungo, Babati, Mbeya na Tabora, Chama hicho kimebaini baadhi ya watu wamechukua kadi ili kuwapa watu ambao watatumika kuwapigia kura.

“Ninatoa agizo kwa makatibu wa wilaya Nchini, vitabu vilivyokuwa vimehakikiwa ndio vitumike kwenye kupiga kura na sio vinginevyo, tutafuatilia na tukibaini kuna maeneo ambapo vitabu vilivyokuwa vimehakikiwa vimeongezwa majina wakurugenzi (Makatibu) wa uchaguzi watawajibika, hili sihitaji kusisitiza tutakutana baadae na hili ni kwa ngazi zote” ameongeza Chongolo.

 

 

ADVERTISEMENT

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In