ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, September 26, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

DKT Msukuma Ajiuzulu Ubalozi Mazingira, Akiikana Ripoti Mto Mara “Magugu Hayawezi ua Samaki”

I am Krantz by I am Krantz
Apr 6, 2022
in HABARI
0
DKT Msukuma Ajiuzulu Ubalozi Mazingira, Akiikana Ripoti Mto Mara “Magugu Hayawezi ua Samaki”
0
SHARES
212
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Dodoma. Balozi wa Mazingira anayewakilisha Bunge, Joseph Kasheku (Musukuma) leo Jumanne Aprili 5, 2022 amejiuzulu nafasi hiyo akisema ni aibu kuwa mwakilishi wakati aliyemteua ameunda ripoti ya hovyo.

Musukuma mbunge wa Geita Vijijini amefikia hatua hiyo muda mfupi baada ya tume iliyoundwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Dk Seleman Jafo kuwasilisha kwa wabunge ripoti ya uchunguzi wa chanzo cha kuchafuka kwa maji ya Mto Mara

RelatedPosts

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

Sep 26, 2023

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.

Sep 26, 2023

WAPATA UMEME KWA MARA YA KWANZA TANGU NCHI IPATE UHURU

Sep 26, 2023
Load More

Ripoti hiyo ni ile iliyofanya uchunguzi wa uchafuzi wa maji kuwa na rangi nyeusi na kusababisha vifo vya samaki katika mto mara ambayo ilikuwa chini ya Profesa Samweli Mayele na wajumbe wengine 10.

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Seleman Jafo aliunda kamati kuchunguza chanzo cha tatizo hilo lakini baada ya kuwasilishwa kwa wananchi ilizua mjadala karibu kila kona.

Leo, wabunge 18 wote wameipinga ripoti hiyo na kuomba isiwekwe kwenye mtandao maalumu wa serikali kwa kuwa maelezo yake ni ya aibu.

“Mimi nilikuwa Balozi wa Mazingira ninayewakilisha wabunge ambaye nilichaguliwa na Waziri Jafo (Dk Seleman), natangaza kuanzia leo kuwa nimejiuzuru nafasi hiyo kuanzia leo maana hii ni aibu sana,” amesema Musukuma.

Mbunge huyo amesema hawezi kuingia kwenye mgogoro wa uongo kuhusu tume hiyo ambayo imekuja na majibu yasiyo na uhalisia akisema hata kwa wasiokuwa na elimu wanajua nini kimetokea kwenye mto huo.

Amesema pamoja na Shahada yake ya Udaktari wa lifti, lakini ripoti ya Profesa Manyele inapingana na taarifa kamili za wasomi wenzake hivyo hawezi kuikubali na kuomba iundwe tume nyingine kwa ajili ya kwenda kufanya nyingine yenye uhalisia.

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE
HABARI

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.
HABARI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.

by I am Krantz
Sep 26, 2023
WAPATA UMEME KWA MARA YA KWANZA TANGU NCHI IPATE UHURU
HABARI

WAPATA UMEME KWA MARA YA KWANZA TANGU NCHI IPATE UHURU

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
WAZIRI AWESO HATUWEZI KUFANYA KAZI PEKE YETU
HABARI

WAZIRI AWESO HATUWEZI KUFANYA KAZI PEKE YETU

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
TAMISEMI YATOLEA UFAFANUZI SAKATA LA DADA WA KAZI KUKOSA MASOMO
HABARI

TAMISEMI YATOLEA UFAFANUZI SAKATA LA DADA WA KAZI KUKOSA MASOMO

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023
HALMASHAURI NCHINI KUZINGATIA UTOAJI LISHE MASHULENI
HABARI

HALMASHAURI NCHINI KUZINGATIA UTOAJI LISHE MASHULENI

by SUZO SHUKRANI
Sep 26, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In