ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Fahyma Aupiga Mwingi Kwa Rayvanny “Mfikishieni Salamu kidudu Mtu”

I am Krantz by I am Krantz
Apr 25, 2022
in HABARI
0
Fahyma Aupiga Mwingi Kwa Rayvanny “Mfikishieni Salamu kidudu Mtu”
0
SHARES
230
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Faima Msangi au Fahyma; ni baby mama wa staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania, Raymond Mwakyusa almaarufu Rayvanny ambao mwaka mmoja baada ya kutengana, kuna ishara nyingi za kuthibitisha kwamba.
Taarifa hizo zimeanza kubamba wakati huu kukiwa na tetesi kwamba, Rayvanny au Vanny Boy ameachana na mpenzi wake mpya ambaye ni Paula Kajala; yule binti wa mwigizaji Kajala Masanja na prodyuza P Funk Majani.

Habari za ndani zinaeleza kuwa, kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo Fahyma ameendelea kutamba na kurusha vijembe kwamba yeye ni mzuri kuliko huyo mwingine.

RelatedPosts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

Mar 24, 2023

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

Mar 24, 2023

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

Mar 24, 2023
Load More

MFIKISHIENI SALAMU KIDUDU-MTU

Mbali na vijembe pia Fahyma muda mwingi anasikiliza nyimbo za Rayvanny au Chui na msanii wake chini ya lebo yake ya Next Level Music (NLM), Mac Voice hasa zile zenye maneno ya kujimwambafai, kujiamini na kutamba kwamba amefanikiwa kumrejesha jamaa huyo na yupo naye sambamba akisema mfikishieni salamu yule kidudu-mtu, apunguze mashauzi na kujidai.

Vyanzo vya ndani vinadai kuwa, kwa sasa mpira umerudi kwa kipa ambapo Rayvanny na Fahyma walianza kuonekana wiki iliyopita katika kumbukizi ya kuzaliwa kwa mtoto wao, Jaydanny iliyofanya kwenye Mgahawa wa Havanna uliopo Mbezi-Beach jijini Dar ikielezwa unamilikiwa na Vanny Boy.

ADVERTISEMENT

MAPENZI YA KWELI HAYAFI?

Kufuatia hali hiyo, baadhi ya wafuasi wao wanasema wameamini ule msemo usemao ‘mapenzi ya kweli hayafi’ na hata yakifa hayaozi na hata kama ikitokea yakaoza, basi hutoa harufu ya marashi mazuri zaidi.

Fahyma na Rayvanny miaka kadhaa nyuma walipendana mno hadi wakafikia hatua ya kupata mtoto pamoja.

Lakini kwa bahati mbaya, baadaye walitengana huku sababu kubwa ikidaiwa ni usaliti na mwanamke kupenda maisha ya gharama kuliko uwezo alionao, hali iliyomfanya Rayvanny ahamishie majeshi kwa mrembo Paula Kajala; binti mdogo na mbichi.

ADVERTISEMENT

PAULA AREJEA KIMYAKIMYA

Tofauti na alivyozoeleka, tangu Paula arejee kimyakimya kutoka masomoni nchini Uturuki, hajaonekana na Rayvanny huku Fahyma akiendelea kumsapoti jamaa katika kazi yake ya muziki.

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE
HABARI

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA
HABARI

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII
HABARI

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI
HABARI

WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI
HABARI

MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC
HABARI

BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC

by I am Krantz
Mar 24, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In