ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

HAKUNA GOLIKIPA WA KUSHINDANA NA AISHI MANULA HAPA BONGO

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 27, 2022
in HABARI
0
HAKUNA GOLIKIPA WA KUSHINDANA NA AISHI MANULA HAPA BONGO
0
SHARES
56
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

May 21, 2022

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

May 21, 2022

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

May 21, 2022
Load More

Ameandika GIFT MACHA
Aishi Manula. Inavutia sana kulitamka jina lake. Limekaa kipekee kama ilivyo kwa uwezo wake uwanjani.
Ni golikipa mmoja wa kisasa kuwahi kutokea nchini. Nafurahi zaidi kumtazama akiwa golini. Sina wasiwasi pindi anapokaa langoni. Iwe Simba ama Taifa Stars. Hapa nchini kwa sasa kuna Manula halafu ndio makipa wengine. Yaani magolikipa wengine karibu wote nchini wanatamani kuwa kama Aishi Manula.
–
Hata mkongwe Juma Kaseja anafurahi kuona anaondoka lakini ameiacha Tanzania kwenye mikono salama ya Manula. Yes, kwa Tanzania Kaseja ndiye kipa bora zaidi katika karne hii ya 21. Katika ubora wake ilikuwa ni jambo gumu sana kuziona nyavu mbele yake.. Angepaa kwenda popote kulinda lango lake..
–
Watu walikuwa na hofu kuwa baada ya Kaseja angekuja nani? Ni kweli kina Deo Munishi, Ally Mustapha na wengineo walifanya vizuri, lakini hawakufika kwenye kilele alichokuwa Kaseja.. Lakini Manula amefika. Tena mapema sana. Uzuri wa Manula ni kwamba amepunguza sana makosa aliyokuwa nayo kipindi cha nyuma. Pamoja na uwezo mkubwa aliokuwa nao, bado kuna nyakati alifungwa magoli mepesi.. Lakini siku hizi huwezi kuliona tena hilo. Ameimarika vilivyo.
Tazama mechi za CAF ambazo Simba ilicheza msimu huu.. Manula alikuwa nyota wa mchezo karibu mechi zote za ugenini. Alijua kuwakera wapinzani wa Simba. Angepangua hata mashuti ambayo kila mtu alidhani ni goli. Pili amekuwa imara zaidi kwenye mikwaju ya penalti. Siyo msimu huu tu, kila msimu Manula ni shujaa katika eneo hilo. Majuzi nilikuwa na uhakika kuwa hawezi kufungwa penalti zote tano na Orlando Pirates, na kweli alicheza moja..
.
Wakati huu ambao Manula anafanya vizuri, ni vyema tukampa pongezi zake. Ni nadra sana golikipa kuwa kwenye kiwango bora kwa miaka sita mfululizo kama ambayo imekuwa kwa Manula.. Tena uzuri ni kwamba siku zinavyosonga ndio anakuwa bora zaidi. Ukweli mchungu ni kwamba hata Yanga inatamani kuwa na Manula. Ni golikipa anayemvutia kila mtu.
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA
HABARI

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
HABARI

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI
HABARI

JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA
HABARI

ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA
HABARI

BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In