ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Iran yaanzisha mazungumzo na Saudia kurejesha mahusiano ya kidiplomasia

I am Krantz by I am Krantz
Apr 25, 2022
in HABARI
0
Iran yaanzisha mazungumzo na Saudia kurejesha mahusiano ya kidiplomasia
0
SHARES
35
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Iran imeanzisha tena mazungumzo na hasimu wake wa kikanda Saudi Arabia, baada ya kusitishwa kwa mazungumzo ya siri mjini Baghdad miezi kadhaa iliyopita.
Tovuti ya habari ya Irani ya Nour, inayotajwa kuwa karibu na Baraza la Juu la Usalama la Taifa, imesema awamu ya tano ya mazungumzo ilifanyika Baghdad na kuhusisha maafisa usalama kutoka pande zote mbili pamoja na maafisa kutoka Iraq na Oman.

Iran, nchi kubwa zaidi ya Waislamu wa Shia na Saudi Arabia, ambayo ndiyo taifa kubwa zaidi la madhehebu ya Sunni, zilivunja uhusiano wa kidiplomasia mnamo 2016, baada ya taifa hilo kumuua aliekuwa mhubiri mashuhuri wa kishia Nimr al-Nimr.

RelatedPosts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

May 22, 2022

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

May 22, 2022

MANULA AKATWA NA KIOO

May 22, 2022
Load More

Hatua hiyo ilizusha maandamano miongoni mwa Wairan wenye hasira wakipinga kunyongwa kwa mhubiri huyo na kuvamia balozi mbili za Saudia huko Iran, hatua iliochochea uhasama wa miaka mingi kati ya mataifa hayo.

ADVERTISEMENT

Mnamo Machi, Tehran ilisema ilisimamisha kwa muda mazungumzo hayo, yaliyolenga kutuliza mvutano wa miaka mingi, baada ya Saudi Arabia kuwaua watu 81 waliopatikana na hatia ya mauaji na kujihusisha na makundi ya wanamgambo.

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA
HABARI

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
HABARI

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
MANULA AKATWA NA KIOO
HABARI

MANULA AKATWA NA KIOO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
NAMUNGO WAPEWA ALAMA TATU, KOCHA MAKATA AFUNGIWA MIAKA MITANO
HABARI

MAKATA, NAFTARI WAOMBA RADHI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA
HABARI

VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO
HABARI

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In