ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, November 30, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

KUNA CHANGAMOTO UCHAGUZI WA CCM NGAZI YA MASHINA – RAIS SAMIA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 30, 2022
in HABARI
0
KUNA CHANGAMOTO UCHAGUZI WA CCM NGAZI YA MASHINA – RAIS SAMIA
0
SHARES
272
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kunachangamoto kadhaa katika chaguzi za chama hicho za mashina na hivyo kudumaza demokrasia ndani ya chama.

–

Rais Samia amesema hayo leo 30 Aprili aliposhiriki katika uchaguzi wa viongozi wa Shina namba 1 la CCM Chamwino Ikulu Jijini Dodoma.

–

“Tunakwenda na uzoefu wa wazee maarufu kupanga watu katika maeneo, hawa Watu ni wachapa kasi au siyo wachapakazi, lakini ni Mzee maarufu ana sauti kwenye eneo basi anachukua watu kupanga watu na kufifiisha demokrasia ndani ya Chama kuacha watu watoe hiyari yao katika uchaguzi Chama”

–

Aidha amesema kuna baadhi ya Viongozi kwenye matawi wamekuwa wakiwanyima fomu wagombea jambo ambalo amesema limekuwa likijitokeza kwenye chaguzi nyingi na amemtaka Katibu Mkuu Daniel Chongolo na sekretarieti yake kulishughulikia suala hilo katika chaguzi zijazo.

–

ADVERTISEMENT

“Kila kiongozi anapochaguliwa hana budi kujiuliza alichaguliwa kwa kura! au aliwekwa tu kwa mizengwe mizengwe.Lakini kura hizo alizipata kwa hila au kwa kufanyakazi kuonesha kuwa alifanya hivi au vile”.

 

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

Tuliishi maisha ya shida sana kisa uchawi wa jirani!
HABARI

Tuliishi maisha ya shida sana kisa uchawi wa jirani!

by I am Krantz
Nov 30, 2023
EACOP Yakamilisha Utaratibu Wa Fidia Kwa Kukabidhi Nyumba Ya 339 Mkoani Tanga
HABARI

EACOP Yakamilisha Utaratibu Wa Fidia Kwa Kukabidhi Nyumba Ya 339 Mkoani Tanga

by I am Krantz
Nov 29, 2023
MAWAKALA WA USAJILI WA VODACOM TANZANIA WATEMBELEA AFRIKA YA KUSINI KUTOKANA NA UTENDAJI BORA WA KAZI.
HABARI

MAWAKALA WA USAJILI WA VODACOM TANZANIA WATEMBELEA AFRIKA YA KUSINI KUTOKANA NA UTENDAJI BORA WA KAZI.

by I am Krantz
Nov 29, 2023
NMB, Oryx Tanzania wazindua ‘Moto Mkali Bei Poa,’ kukopesha gesi ya kupikia
HABARI

NMB, Oryx Tanzania wazindua ‘Moto Mkali Bei Poa,’ kukopesha gesi ya kupikia

by I am Krantz
Nov 27, 2023
Kampeni Ya Serengeti Maokoto Ndani Ya Kizibo Yazidi Kusambaza Furaha Kwa Watanzania
HABARI

Kampeni Ya Serengeti Maokoto Ndani Ya Kizibo Yazidi Kusambaza Furaha Kwa Watanzania

by I am Krantz
Nov 27, 2023
NMB Mlipa Kodi Mkubwa na Bora Zaidi Tanzania 2023 🇹🇿
HABARI

NMB Mlipa Kodi Mkubwa na Bora Zaidi Tanzania 2023 🇹🇿

by I am Krantz
Nov 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TWEETS

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In