ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

‘Mfalme Zumaridi’, Wenzake Wasomewa Maelezo ya Awali

I am Krantz by I am Krantz
Apr 29, 2022
in HABARI
0
‘Mfalme Zumaridi’, Wenzake Wasomewa Maelezo ya Awali
0
SHARES
185
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mwanza. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Mkoa wa Mwanza imewasomea maelezo ya awali katika kesi ya usafirishaji haramu wa binadamu inayomkabili Diana Bundala maarufu ‘Mfale Zumaridi’ na wenzake tisa leo Alhamisi Aprili 28, 2022.

Zumaridi na wafuasi wake wanakabiliwa pia na shtaka la kushambulia na kuzuia maofisa wa Serikali kutimiza wajibu wao na kufanya kusanyiko lisilo na kibali.

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More

Wakili wa Serikali Mwandamizi, Emmanuel Luvinga amewasomea maelezo hayo ya awali mbele ya Hakimu Mwandamizi, Monica Ndyekobora.

Luvinga ameiambia mahakama hiyo kwamba washtakiwa hao walitenda kosa hilo Februari 23,2022 la kumjeruhi na kumzuia kutekeleza wajibu wake askari polisi, James Mgaya na Afisa Ustawi wa Jamii, Christina Mwisongo nyumbani kwa Mfalme Zumaridi, eneo la Bugugu kata ya Buhongwa wilayani Nyamagana.

“Vurugu hizo zilipelekea afisa wa polisi na ustawi wa jamii kushindwa kutekeleza majukumu yao, waliondoka eneo la tukio na kuliripoti kituo cha polisi Nyamagana Inspekta Mgaya alipewa PF3 na kupewa matibabu hospitali ya Nyamagana.

ADVERTISEMENT

“Mnamo Februari 26, askari walifika eneo la tukio kukamata watuhumiwa wote na kuwapeleka kituo cha polisi Nyamagana baada ya kuhojiwa walikiri katika maelezo yao na kufikishwa mahakamani ambapo walifunguliwa shtaka linalowakabili sasa,” amesema Luvinga.

Washtakiwa hao wamekana kutenda makosa hayo, huku Hakimu Ndyekubora kuagiza upande wa Jamhuri kuleta mashahidi.

Kesi hiyo imehairishwa hadi Mei 10, 2022 huku upande wa Jamhuri ikiahidi kupeleka mashahidi 20 na vielelezo vinne

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In