ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, April 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MIGODI YA BARRICK YATOA MSAADA WA VIPIMO YA MAGONJWA VYA KISASA

I am Krantz by I am Krantz
Apr 21, 2022
in HABARI
0
MIGODI YA BARRICK YATOA MSAADA WA VIPIMO YA MAGONJWA VYA KISASA
0
SHARES
248
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RelatedPosts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

Apr 1, 2023

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

Apr 1, 2023

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

Apr 1, 2023
Load More
ADVERTISEMENT
Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara , Apolinary Lyambiko, akimkabidhi mashine za vipimo kwa viongozi wa Serikali wa Mkoa wa Mara.
Viongozi wa Chama na Serikali mkoani Mara katika picha ya pamoja na Maofisa wa Barrick katika hafla hiyo.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Ally Happi, akiongea katika hafla ya kupokea vifaa vya vipimo (Kushoto) ni Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara , Apolinary Lyambiko
Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Apolinary Lyambiko, akiongea katika hafla ya kukabidhi mashine za kisasa za kupima magonjwa.
Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO) wa Mara, Dkt Juma Mfanga akiongea wakati wa hafla hiyo.
Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakifuatilia matukio.

**

Migodi ya Barrick ya North Mara na Bulyanhulu imetoa msaada wa vipimo vya kisasa vya utambuzi wa magonjwa katika hospitali mbili za mikoa kama sehemu ya mpango wa kusaidia nchi katika kupambana na kukabiliana na ugonjwa wa UVIKO-19 na magonjwa mengine ya kuambukiza.

Katika hafla ya kukabidhi msaada huo katika Hospitali ya Rufaa ya Musoma, Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara , Apolinary Lyambiko, alikabidhi msaada huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Ally Happi, vifaa vya kisasa vya kupima magonjwa ya kuambukiza kama virusi vya UVIKO-19, Kifua Kikuu, Nimonia, Mafua makali na magonjwa mengineyo.

Daktari Mkazi katika mgodi wa North Mara, Dk. Nicholas Mboya, alibainisha kuwa utambuzi unaweza kufanywa kupitia aina mbalimbali za sampuli, kwa kuchukua vipimo kwenye pua, Koo, mate au makohozi, na kutoa majibu kati ya muda wa dakika 49 na 80. 

Alisema Upimaji huu unadhihirisha ubora wa vipimo hivi vya kisasa ambavyo vinaweza kutambua majibu ya sampuli nne kwa wakati mmoja.

“Tunajivunia kutoa vifaa hivi maalum ili kuimarisha miundombinu ya matibabu katika jamii zinazozunguka migodi ya kampuni,” Lyambiko”, alisema.
ADVERTISEMENT

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI
HABARI

YANGA TUNAHITAJI KUIFUNGA MAZEMBE TUONGOZE KUNDI

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA
HABARI

GARI LA KIFAHARI ZAIDI NA LENYE THAMANI KUBWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA
HABARI

ONYANGO AOMBEWA MSAMAHA KWA ALICHOFANYA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA
HABARI

KOCHA NABI NA WACHEZAJI HAWA KUKOSA MCHEZO DHIDI YA MAZEMBE, SABABU YATAJWA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022
HABARI

TANI 20.6 ZA BANGI ZIMEKAMATWA 2022

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023
SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA
HABARI

SAFU YA ULINZI IMEWAANGUSHA SIMBA

by Shabani Rapwi
Apr 1, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In