ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, September 26, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Mo Salah Avunja Rekodi ya Ozil Dhidi ya United

I am Krantz by I am Krantz
Apr 22, 2022
in MICHEZO
0
Mo Salah Avunja Rekodi ya Ozil Dhidi ya United
0
SHARES
161
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool Mohamed Salah usiku wa jana aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa bao nne kwa nunge dhidi ya Manchester United akifunga mabao mawili na kutoa usaidizi wa goli moja.

Mo Salah anakuwa mchezaji wa pili katika historia ya EPL kufunga na kutoa usaidizi wa goli dhidi ya Manchester United wakiwa nyumbani na ugeni rekodi iliyowekwa na Mesut Ozil miaka saba iliyopita wakati anakipiga ndani ya The Gunners (Arsenal).

Tukumbuke pia kabla ya mchezo dhidi ya Manchester United Salah alicheza michezo sita mfululizo ya EPL bila kufunga bao hata moja, gari imekuja kuwaka kwa Manchester United.

RelatedPosts

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

Sep 26, 2023

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.

Sep 26, 2023

WAPATA UMEME KWA MARA YA KWANZA TANGU NCHI IPATE UHURU

Sep 26, 2023
Load More

Vipi,inafaa tukisema United wamekuwa vibonde wa ligi?

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
ONANA ASEMA ‘HUU NI MOJA YA MCHEZO MBAYA ZAIDI AMBAYO NIMECHEZA’
HABARI

ONANA ASEMA ‘HUU NI MOJA YA MCHEZO MBAYA ZAIDI AMBAYO NIMECHEZA’

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
ERIK TEN HAG HAJAWAHI KUWA NA KIKOSI BORA CHA MANCHESTER UNITED TANGU AWE MENEJA
HABARI

ERIK TEN HAG HAJAWAHI KUWA NA KIKOSI BORA CHA MANCHESTER UNITED TANGU AWE MENEJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
MASHABIKI WA NAMUNGO FC WAPATA AJALI, WANNE WAFARIKI NA 16 MAJERUHI
HABARI

MASHABIKI WA NAMUNGO FC WAPATA AJALI, WANNE WAFARIKI NA 16 MAJERUHI

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
TWIGA STARS YAWASILI IVORY COAST KUWAVAA WENYEJI HAO IJUMAA
HABARI

TWIGA STARS YAWASILI IVORY COAST KUWAVAA WENYEJI HAO IJUMAA

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
FGP FC YACHUKUWA HATUA SAKALA LA MIMBA KWA MCHZEZAJI WAO
HABARI

FGP FC YACHUKUWA HATUA SAKALA LA MIMBA KWA MCHZEZAJI WAO

by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In