ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, September 26, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Morrison habari nzito CAF

I am Krantz by I am Krantz
Apr 7, 2022
in MICHEZO
0
Morrison habari nzito CAF
0
SHARES
190
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

KATIKA mechi 10 ambazo Simba imecheza kwenye michuano ya CAF msimu huu imefunga mabao 16 huku winga wao, Bernard Morrison ndiye mchezaji pekee aliyechangia idadi kubwa zaidi (saba), akifuatia Shomari Kapombe (matatu).

Morrison aliyeonyesha ukomavu CAF, anaongoza kwa asisti tano, huku akifunga mabao matatu na hiyo ilitokana na ujanja wake pamoja na wepesi wa kukabailiana na mabeki wa timu pinzani.

RelatedPosts

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

ESWATINI KUFANYA UCHAGUZI WA WABUNGE

Sep 26, 2023

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, MH. SAADI MTAMBULE AZINDUA KITUO CHA MFUMO WA M-MAMA JIJINI DAR ES SALAAM.

Sep 26, 2023

WAPATA UMEME KWA MARA YA KWANZA TANGU NCHI IPATE UHURU

Sep 26, 2023
Load More

Mchezaji huyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika alitoa asisti moja na upande wa Kombe la Shirikisho alitoa asisti tatu huku akifunga mabao matatu.

Kwenye ligi hiyo, Simba ilicheza mechi mbili dhidi ya Jwaneng Galaxy na walishinda jumla ya mabao matatu baada ya mchezo wa kwanza Simba kushinda 2-0 na kwenye mchezo wa marudiano alifungwa 3-1 na kuondolewa katika kombe hilo na kwenda kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika kuanzia hatua ya makundi.

Morrison alitoa asisti kwenye mchezo waliofungwa 3-1 huku Lary Bwalya akifunga bao la kufutia machozi.

Katika mchezo wa kwanza kwenye Shirikisho, Simba walianza na Red Arrows uliomalizika wakishinda 3-0, Morrison alifunga mabao mawili huku bao la tatu likifungwa na Meddie Kagere (asisti Morrison).

Morrison alisawazisha dhidi ya USGN (1-1) Simba ikiwa timu pekee kundi D kupata pointi ya ugenini.

Mchezaji huyu alikuja kuhusika tena katika ushindi wa 4-0 dhidi ya USGN akitoa asisti mbili na kuifanya Simba itinge hatua ya robo fainali ya Kombe hilo kibabe.

Kocha msaidizi wa Kagera Sugar, Ulimboka Mwakingwe alisema Morrison ana uwezo wa kuamua mechi ngumu na kuutafsiri mchezo unataka nini, jambo analoamini linamng’arisha mechi za kimataifa.

“Anajua anachokitaka uwanjani, akiamua kuwekeza nguvu zaidi kwenye kazi, atafanya makubwa zaidi ya hayo tunayomuona anafanya,” alisema.

Kauli hiyo iliungwa mkono na beki wa zamani wa timu hiyo, Godwin Aswile aliyesema alichokigundua kwa Morrison ana maamuzi ya kucheza kwa kiwango cha juu ama chini.

“Ana maamuzi ya nini afanye, nimemwona kwenye mechi ngumu ambazo Simba inahitaji matokeo, anapambana na kujitoa, mfano alitengeneza nafasi nyingi dhidi ya USGN alipoona anaowapa asisti wafunge hawafungi akaanza kujaribu kupiga mwenyewe, tafsiri yake alihitaji kuona wanapata mabao, hiyo ndio maana ya mchezaji mkubwa,” alisema.

Related

I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy
BIASHARA

Maurel and Prom: Empowering Tanzania’s Sustainable Energy Economy

by I am Krantz
Sep 22, 2023
ONANA ASEMA ‘HUU NI MOJA YA MCHEZO MBAYA ZAIDI AMBAYO NIMECHEZA’
HABARI

ONANA ASEMA ‘HUU NI MOJA YA MCHEZO MBAYA ZAIDI AMBAYO NIMECHEZA’

by SUZO SHUKRANI
Sep 21, 2023
ERIK TEN HAG HAJAWAHI KUWA NA KIKOSI BORA CHA MANCHESTER UNITED TANGU AWE MENEJA
HABARI

ERIK TEN HAG HAJAWAHI KUWA NA KIKOSI BORA CHA MANCHESTER UNITED TANGU AWE MENEJA

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
MASHABIKI WA NAMUNGO FC WAPATA AJALI, WANNE WAFARIKI NA 16 MAJERUHI
HABARI

MASHABIKI WA NAMUNGO FC WAPATA AJALI, WANNE WAFARIKI NA 16 MAJERUHI

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
TWIGA STARS YAWASILI IVORY COAST KUWAVAA WENYEJI HAO IJUMAA
HABARI

TWIGA STARS YAWASILI IVORY COAST KUWAVAA WENYEJI HAO IJUMAA

by SUZO SHUKRANI
Sep 20, 2023
FGP FC YACHUKUWA HATUA SAKALA LA MIMBA KWA MCHZEZAJI WAO
HABARI

FGP FC YACHUKUWA HATUA SAKALA LA MIMBA KWA MCHZEZAJI WAO

by SUZO SHUKRANI
Sep 19, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In