ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MPIGANIA UHURU WA KENYA ANYOLEWA NYWELE ZAKE ALIZOFUGA KWA MIAKA 59

I am Krantz by I am Krantz
Apr 5, 2022
in HABARI
0
MPIGANIA UHURU WA KENYA ANYOLEWA NYWELE ZAKE ALIZOFUGA KWA MIAKA 59
0
SHARES
178
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Muthoni wa Kirima almaarufu Field Marshal, akinyolewa nywele zake alizozifuga tangu mwaka 1963

**

RelatedPosts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Mar 27, 2023

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mar 27, 2023

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

Mar 27, 2023
Load More
Mpigania uhuru maarufu nchini Kenya, Muthoni wa Kirima almaarufu Field Marshal, amenyolewa nywele zake alizozifuga tangu mwaka 1963 baada ya Kenya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni.

Tukio la mpigania uhuru huyo kunyolewa nywele zake, limetokea wikiendi iliyopita na kuzusha gumzo kubwa baada ya picha kuanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonesha ‘first lady’ wa zamani na mama wa rais wa sasa, Mama Ngina Kenyatta akimnyoa nywele hizo.

Muthoni mwenye umri wa miaka 92, anafahamika zaidi kuwa mwanamgambo wa Mau Mau aliyepigana na wakoloni wa Uingereza wakati wa harakati za kudai uhuru wa Kenya.

Muthoni wa Kirima akishangilia mara baada ya kunyolewa nywele zake alizozifuga tangu mwaka 1963

Tofauti na wapiganaji wengine, baada ya kupata uhuru Muthoni hakunyoa nywele zake na kuanza kuzifuga kama moja ya alama za wapiganaji hao waliokuwa wanafuga nywele kipindi cha kupigania uhuru.

ADVERTISEMENT

Inaelezwa kwamba katika harakati za kudai uhuru, Muthoni aliishi msituni kwa muda wa miaka saba ambapo tofauti na wenzake ambao waliwekwa kama wakuu wa upelelezi wa Mau Mau au wasambazaji wa chakula msituni, yeye alisimama mstari wa mbele vitani na kusababisha abatizwe jina la Field Marshal kutokana na ujasiri wake.

Miaka kadhaa iliyopita, Muthoni alijiapiza kwamba kamwe hatanyoa nywele hizo mpaka serikali itakaposhughulikia matakwa yake ambapo juzi wakati akinyolewa nywele hizo, alisema tayari matakwa yake yametekelezwa bila kueleza ni matakwa gani.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION  KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
HABARI

TAASISI YA GREEN KIDS AND YOUTH FOUNDATION KUENDELEZA MAHUSIANO BORA NA WADAU KATIKA KUTETEA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

by Ally Hamis Zingizi
Mar 27, 2023
NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
HABARI

NALA kuwekeza zaidi ya Sh. Bilioni 2 baada ya kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

by I am Krantz
Mar 27, 2023
Naibu Waziri   aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya  michezo
HABARI

Naibu Waziri aipongeza Benki ya NBC kwa kusaidia maendeleo ya michezo

by I am Krantz
Mar 27, 2023
MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA
HABARI

MZEE WA MIAKA 92 AFUNGA NDOA YA TANO MWAKA MMOJA BAADA YA NDOA NNE KUVUNJIKA

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14
HABARI

BAKWATA YASHIKILIA MSIMAMO NDOA MIAKA 14

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023
MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL
HABARI

MOURINHO KOCHA BORA WA KARNE – ÖZIL

by Shabani Rapwi
Mar 27, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In