MPIGANIA UHURU WA KENYA ANYOLEWA NYWELE ZAKE ALIZOFUGA KWA MIAKA 59 – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Monday, May 16, 2022
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MPIGANIA UHURU WA KENYA ANYOLEWA NYWELE ZAKE ALIZOFUGA KWA MIAKA 59

I am Krantz by I am Krantz
Apr 5, 2022
in HABARI
0
MPIGANIA UHURU WA KENYA ANYOLEWA NYWELE ZAKE ALIZOFUGA KWA MIAKA 59
0
SHARES
24
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Muthoni wa Kirima almaarufu Field Marshal, akinyolewa nywele zake alizozifuga tangu mwaka 1963

**

RelatedPosts

WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE

WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE

May 16, 2022

WAZIRI MULAMULA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO U.A.E

May 16, 2022

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA ABU DHABI FALME ZA KIARABU

May 16, 2022
Load More
Mpigania uhuru maarufu nchini Kenya, Muthoni wa Kirima almaarufu Field Marshal, amenyolewa nywele zake alizozifuga tangu mwaka 1963 baada ya Kenya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni.

Tukio la mpigania uhuru huyo kunyolewa nywele zake, limetokea wikiendi iliyopita na kuzusha gumzo kubwa baada ya picha kuanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonesha ‘first lady’ wa zamani na mama wa rais wa sasa, Mama Ngina Kenyatta akimnyoa nywele hizo.

Muthoni mwenye umri wa miaka 92, anafahamika zaidi kuwa mwanamgambo wa Mau Mau aliyepigana na wakoloni wa Uingereza wakati wa harakati za kudai uhuru wa Kenya.

Muthoni wa Kirima akishangilia mara baada ya kunyolewa nywele zake alizozifuga tangu mwaka 1963

Tofauti na wapiganaji wengine, baada ya kupata uhuru Muthoni hakunyoa nywele zake na kuanza kuzifuga kama moja ya alama za wapiganaji hao waliokuwa wanafuga nywele kipindi cha kupigania uhuru.

Inaelezwa kwamba katika harakati za kudai uhuru, Muthoni aliishi msituni kwa muda wa miaka saba ambapo tofauti na wenzake ambao waliwekwa kama wakuu wa upelelezi wa Mau Mau au wasambazaji wa chakula msituni, yeye alisimama mstari wa mbele vitani na kusababisha abatizwe jina la Field Marshal kutokana na ujasiri wake.

Miaka kadhaa iliyopita, Muthoni alijiapiza kwamba kamwe hatanyoa nywele hizo mpaka serikali itakaposhughulikia matakwa yake ambapo juzi wakati akinyolewa nywele hizo, alisema tayari matakwa yake yametekelezwa bila kueleza ni matakwa gani.

Related

I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE
HABARI

WAANDISHI WA HABARI TUMIENI KALAMU ZENU KUTANGAZA FURSA NA MATARAJIO YA MIPANGO YA SERIKALI- RC KUNENGE

by ALLY ZINGIZI
May 16, 2022
WAZIRI MULAMULA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO U.A.E
HABARI

WAZIRI MULAMULA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO U.A.E

by ALLY ZINGIZI
May 16, 2022
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA ABU DHABI FALME ZA KIARABU
HABARI

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA ABU DHABI FALME ZA KIARABU

by ALLY ZINGIZI
May 16, 2022
JOSE PESEIRO KOCHA MPYA WA NIGERIA
HABARI

JOSE PESEIRO KOCHA MPYA WA NIGERIA

by SHABANI RAPWI
May 16, 2022
SERIKALI YAZITAKA TAASISI KUWAJENGEA UWEZO WAKAGUZI WA NDANI
HABARI

SERIKALI YAZITAKA TAASISI KUWAJENGEA UWEZO WAKAGUZI WA NDANI

by I am Krantz
May 16, 2022
UKRAINE YATAKA KUUNGWA MKONO NA AFRIKA KATIKA VITA NA URUSI
HABARI

UKRAINE YATAKA KUUNGWA MKONO NA AFRIKA KATIKA VITA NA URUSI

by SHABANI RAPWI
May 16, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In