ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

MRADI WA MWENDOKASI KILWA ROAD MBAGALA KUKAMILIKA MARCH 2023

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 20, 2022
in HABARI
0
MRADI WA MWENDOKASI KILWA ROAD MBAGALA KUKAMILIKA MARCH 2023
0
SHARES
55
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

May 22, 2022

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

May 22, 2022

MANULA AKATWA NA KIOO

May 22, 2022
Load More

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewapongeza TANROAD kwa hatua walizochukuwa kumsimamia Mkandarasi kutoka kampuni ya SINOHYDRO anaetekeleza Awamu ya pili ya mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Mabasi ya mwendokasi Kilwa road.

ADVERTISEMENT

Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua Miradi ya maendeleo Wilaya ya Temeke, RC Makalla amefurahi kuona Ujenzi huo umefikia Asilimia 52 ambapo amemtaka Mkandarasi kuongeza bidii ili kazi ikamilike kabla ya mwezi March mwakani ili lengo la Rais Samia Suluhu Hassan kutoa huduma bora ya usafiri iweze kutimia.

 

Kutokana na mwenendo Mzuri wa Mkandarasi, RC Makalla ameelekeza kuwepo kwa utaratibu rafiki utakaofanya Shughuli za Ujenzi zinazoendelea zisiathiri Shughuli za Wananchi ikiwemo kusababisha foleni, vumbi na hata kuzuia uzalishaji viwandani.

Hata hivyo RC Makalla amewaelekeza TANROAD na TARURA kumpatia taarifa ya mgawanyo wa Majukumu yao hususani kuweka makubaliano ya nani anapaswa kusimamia Mifereji na Mitaro.

Katika ziara hiyo RC Makalla pia ametembelea Ujenzi wa Zahanati ya Toangoma inayogharimu Shilingi Milioni 250 na Zahanati ya Kilakala inayogharimu Shilingi Milioni 250 ikiwa ni fedha zitokanazo na Tozo za Simu ambapo amepongeza Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa kusimamia kikamilifu Miradi ya maendeleo.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA
HABARI

WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MAWE KIMIUJIZA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI
HABARI

19 WAJERUHIWA KATIKA AJALI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
MANULA AKATWA NA KIOO
HABARI

MANULA AKATWA NA KIOO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
NAMUNGO WAPEWA ALAMA TATU, KOCHA MAKATA AFUNGIWA MIAKA MITANO
HABARI

MAKATA, NAFTARI WAOMBA RADHI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA
HABARI

VIFO MILIONI 8 KWA UVUTAJI WA SIGARA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO
HABARI

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In