Mufti Wa Tanzania Ashiriki Iftari na Wateja wa Nmb – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Monday, May 16, 2022
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Mufti Wa Tanzania Ashiriki Iftari na Wateja wa Nmb

I am Krantz by I am Krantz
Apr 18, 2022
in BIASHARA
0
Mufti Wa Tanzania Ashiriki Iftari na Wateja wa Nmb
0
SHARES
29
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Mufti Mkuu wa Tanzania Aboubakary Zubery akizungumza katika hafla fupi ya ya kupata Iftari

Kwa kutambua thamani ya Wateja wao na umuhimu Mwezi wa Ramadhani, Benki ya NMB imeshiriki Futari na Wateja na Wadau mbalimbali wa Dar es Salaam na kuhudhuriwa Mufti Mkuu wa Tanzania Aboubakary Bin Zubery.

RelatedPosts

JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB

JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB

May 2, 2022

NMB yaipa kipaumbele Elimu ya fedha kwa vijana nchini

Apr 27, 2022

KATA BIMA YA GARI KUPITIA BENKI YA NMB

Apr 20, 2022
Load More

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya Iftari Kwa wateja wa NMB wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mponzi amesema NMB imeamua kufanya tukio hilo kwasababu wanaamini kupitia mwenzi mtukufu, jamii kwa ujumla inastawishwa na Sala zinazotolewa wakati wa mwezi huu;

Afisa Mkuu wa wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (wa pili kutoka kulia) akisalimiana na Mufti Mkuu wa Tanzania Aboubakary Zubery

“Kwa msimu huu wa Ramadhani, Benki yetu ya NMB tunapenda kujumuhika na wapendwa wetu na wadau wengine mbalimbali wakati wa kufuturu kwani tunaamini kupitia mwezi huu tukufu, Jamii zetu zinastawishwa na sala za zati zinazotolewa wakati huu lakini pia baraka kwa watu wengi na Taifa kwa ujumla”

Afisa Mkuu wa wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi amewasihi waislamu wote katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kutafakari juu ya maadili yatakayowaunganisha Binadamu wote, upendo kwa familia, kufanya Toba na kuzidi kushiriki katika ibada.

Baadhi ya wageni waalikwa wakipata Iftar iliyokuwa imeandaliwa.

Na hii siyo mara ya kwanza kujumuika na wateja wake katika ibada ya futari hivyo, wameamua kuendeleza utamaduni huo kwa kukutana na wadau wote wa NMB kujumuika wakati wa Iftari.

Mponzi amemshukuru Mufti Mkuu Sheikh Aboubakary Zubery, viongozi wote wa dini na serikali lakini pia wateja wote na wafanyakazi wa Benki ya NMB kwa kushiriki futari hiyo.

Kwa Upande wake Mufti Mkuu wa Tanzania Aboubakary Zubery amesema NMB wameonyesha upendo na kujali kwa kitendo cha kuandaa futari ambayo imewakutanisha watu mbalimbali na kujenga undugu;

“NMB mmethamini na kujali ndiyo maana mmeona umuhimu wa kuita watu mbalimbali kuja kufuturu futari ambayo inajenga undugu, inaweka watu karibu na watu kufurahi, hivyo viongozi wa NMB mmetuonyesha jinsi ambavyo mmekuwa na tabia nzuri na ya kuthamini”

Pia, Mufti Mkuu amesema wao kama Baraza kuu la Waislamu Tanzania wamekua wadau wakubwa kwa Benki ya NMB hivyo ametoa wito kwa Wananchi wote kufungua account za NMB kwani huduma zao ni bora zaidi .

Related

Tags: NMBNMB Foundation
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

TFS KANDA YA KUSINI KUTUMIA FILAMU YA ROYAL TOUR KUONGEZA WATALII KUSINI
BIASHARA

TFS KANDA YA KUSINI KUTUMIA FILAMU YA ROYAL TOUR KUONGEZA WATALII KUSINI

by ALLY ZINGIZI
May 15, 2022
MIRADI YAKO IKO SALAMA UKIWA UMEBIMA NA BENKI YA NMB
BIASHARA

MIRADI YAKO IKO SALAMA UKIWA UMEBIMA NA BENKI YA NMB

by I am Krantz
May 14, 2022
TPA HOSTS LMC DELEGATION FOR BUSINESS TALKS
BIASHARA

TPA HOSTS LMC DELEGATION FOR BUSINESS TALKS

by I am Krantz
May 13, 2022
Vodacom Tanzania PLC watembelea wateja wao mkoani Mbeya ili kuangalia shughuli za masoko
BIASHARA

Vodacom Tanzania PLC watembelea wateja wao mkoani Mbeya ili kuangalia shughuli za masoko

by I am Krantz
May 3, 2022
JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB
BIASHARA

JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB

by I am Krantz
May 2, 2022
SIRI NZITO YA WANAUME WA MJINI YAANIKWA/TAIRI CHAKAVU TISHIO USALAMA/ISHU YA MORISSON NA CAS YAIBUKA UPYAA…..MAGAZETINI LEO ALHAMISI TAREHE 23 SEPTEMBA
BIASHARA

TAMU CHUNGU ZA ROYAL TOUR/MAYELE CHAMA CHINI YA ULINZI /WEMA ; TUMERUDI ENZI ZETU…….MAGAZETINI LEO IJUMAA TAREHE 29 APRIL

by I am Krantz
Apr 29, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In