ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Thursday, June 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

MWANAMKE MZEE KULIKO WOTE DUNIANI AFARIKI

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 25, 2022
in HABARI
0
MWANAMKE MZEE KULIKO WOTE DUNIANI AFARIKI
0
SHARES
261
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

Jun 1, 2023

MAYELE;- TUNAENDA KUSHINDA KWAO USM ALGER

May 31, 2023

CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM

May 31, 2023
Load More

Mwanamke wa Kijapani ambaye aliidhinishwa kuwa na umri mkubwa kuliko wote duniani, amefariki akiwa na miaka 119. Kane Tanaka alizaliwa Januari 2, 1903, katika mji wa Fukuoka ulio kusini magharibi mwa Japan, mwaka huohuo ndugu wawili wa familia ya Wright walirusha ndege huku Marie Curie akishinda tuzo ya Nobel.

Tanaka alikuwa katika hali nzuri kiafya hadi hivi karibuni na aliishi katika nyumba ambayo alikuwa akipata matibabu na alipenda michezo, kutafuta majibu ya hisabati, kunywa soda na kula chocolate.

ADVERTISEMENT

Enzi za ujana, Tanaka aliendesha biashara tofauti, ikiwemo ya kuuza sindano na keki. Alioana na Hideo Tanaka karne moja iliyopita, mwaka 1922, akizaa watoto wanne na kuasili wa tano.

 

Alikuwa amepanga kutumia kiti cha magurudumu ili kushiriki mbio za mwenge wa Olimpiki wakati wa Michezo ya Tokyo mwaka 2021, lakini janga la corona lilimzuia.

Wakati taasisi ya Guinness World Records ilipomthibitisha kuwa ndiye mwanamke mwenye umri mkubwa aliye hai mwaka 2019, aliulizwa ni wakati gani ulikuwa wa furaha sana kwake, alijibu “sasa”.

Shughuli zake za kila siku zilielezewa wakati huo kuwa ni kuamka saa 12:00 asubuhi na kutumia mchana kusoma hesabu na kufanya mazoezi ya kuandika herufi. Gavana wa eneo alilokuwa akiishi, Seitaro Hattori alimwagia sifa Tanaka baada ya kufariki Aprili 19.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO JUNI 1, 2023

by ALFRED MTEWELE
Jun 1, 2023
CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM
HABARI

CCM YAZINDUA KADI ZA KIELEKRONIKI KUTUMIKA KAMA ATM

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU
HABARI

MKE WA RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI ASUMBULIWA NA KUPOTEZA KUMBUKUMBU

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
YALIYOJIRI KWENYE KURASA ZA MAGAZETI LEO MEI 21, 2023
HABARI

YALIYOJIRI KWENYE MAGAZETI YA LEO MEI 31, 2023

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO
HABARI

WHO YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO

by ALFRED MTEWELE
May 31, 2023
TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa  mkoani Tabora
HABARI

TADB yashiriki maonesho ya wiki ya Maziwa mkoani Tabora

by I am Krantz
May 30, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In