ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Wednesday, March 22, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

NYOTA WA TIKTOK AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 19, 2022
in HABARI
0
NYOTA WA TIKTOK AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA
0
SHARES
121
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

MECHI ZITASIMAMA EPL KUPISHA ‘IFTAR’

Mar 21, 2023

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

Mar 21, 2023

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

Mar 21, 2023
Load More

Nyota wa mtandao TikTok kutoka Misri, Haneem Hossam amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu gerezani.
Hukumu hiyo inakuja baada ya mahakama ya kumkuta na hatia ya usafirishaji haramu wa binadamu.
Haneen Hossam alishtakiwa kwa kutengeneza pesa kwa njia ya kuwarubuni wasichana kupitia mtandao huo wa kushirikishana picha za video.
Haneem alikataa mashtaka hayo ambayo yanahusishwa na video yake ya kuwaalika wafuasi wake kwenye mtandao huo kusambaza video za mubashara na kupata malipo kwa kufanya hivyo. Wanaharakati wa haki za binadamu Haneem amehukumiwa kwa hila na ni sehemu ya kuwadhibiti wahamasishaji wanawake kwneye mitandao ya kijamii.
Haneen alifanikiwa kupata zaidi ya wafuasi 900,000 kwa kuigiza kuimba nyimbo na kushirikisha watu kwenye mtandao wa TikTok. Alikamatwa kwa mara ya kwanza mwaka 2020 baada ya kuwaalika wafuasi wake wanawake kwenye mtandao mwingine wa kushirikisha video wa Likee alikowaambia watapata pesa kwa kushirikisha watu video zao.
Mahakama ya Uchumi ya Misri ilimkuta na hatia sambamba na nyota mwingine wa TikTok, Mawada al-Adham kwa makosa ya kukiuka tunu na misingi ya familia” na wakahukumiwa kifungo cha miaka miwili gerezani na kulipishwa faini ya paundi za Misri 300,000 (TZS 49m).
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI
HABARI

AFUNGIWA MIAKA 40 KUTOINGIA UWANJANI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA
HABARI

MWANAFUNZI AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI KENYA

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI
HABARI

WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI WATOA MWILI WA MAREHEMU NA KUONDOKA NA SEHEMU ZA SIRI

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
BIKIRA JANE APATA MTOTO
HABARI

BIKIRA JANE APATA MTOTO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023
ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA
HABARI

ASKARI ANAYETUHUMIWA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ASOMEWA MASHTAKA

by ALFRED MTEWELE
Mar 21, 2023
SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO
HABARI

SEVILLA YAMFUTA KAZI KOCHA JORGE SAMPOLI NA KUMTEUA KOCHA HUYO

by Shabani Rapwi
Mar 21, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In