Kikosi cha nyota 22 wa Ruvu Shooting kimeanza safari ya kuelekea Kigoma tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Mei 4 dhidi ya Yanga.
–
Ruvu Shooting itakuwa mwenyeji wa mchezo huo waliouhamishia kwenye uwanja wa Lake Tanganyika kwa mujibu wa kanuni.
ADVERTISEMENT
–
Katika msafara huo Kocha Boniface Mkwassa amewaacha wachezaji watatu, Elius Maguri, Hamad Majimengi na Paul Ngarema kwa sababu mbali mbali.
–
“Hawa watatu hatukusafiri nao, wengine ni majeruhi na wengine wana sababu binafsi.
Mbali ya hao, wachezajii wengine 22 wako vizuri na tayari kea mechi yetu ya Mei 4,” amesema Mkwasa.
ADVERTISEMENT