Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza siku mbili za maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais Mstaafu wa Kenya Mwai Kibaki, kilichotokea tarehe 21 mwezi hiuu jijini Nairobi.
–
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais – Ikulu imeeleza kuwa, maombolezo hayo yanaanza leo tarehe 29 na kesho tarehe 30.
–
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, katika kipindi chote cha maombolezo bendera zitapepea nusu mlingoti nchini Tanzania na zile zilizopo kwenye Balozi mbalimbali
–
Rais Samia Suluhu Hassan amewaomba Watanzania wote kuungana na Wakenya katika kipindi hiki kigumu ambacho wameondokdwa na kiongozi wao.
ADVERTISEMENT