ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TRA YATOA MSAMAHA KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO VILIVYOINGIZWA NCHINI KINYUME CHA SHERIA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 26, 2022
in HABARI
0
TRA YATOA MSAMAHA KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO VILIVYOINGIZWA NCHINI KINYUME CHA SHERIA
0
SHARES
64
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

RelatedPosts

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA

May 22, 2022

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

May 22, 2022

ANAYETUHUMIWA KUMLAWITI BINTI YAKE AKAMATWA NA POLISI LINDI

May 22, 2022
Load More

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa msamaha wa riba na adhabu ya kodi kwa wamiliki wa vyombo vya moto vilivyoingizwa nchini bila kufuata taratibu za forodha kuanzia tarehe 25 Aprili hadi Juni 30, 2022.
–
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Richard Kayombo amesema kwamba, vyombo hivyo vinahusisha vile vilivyoingizwa kwa njia za magendo, vilivyokusudiwa kwenda nchi jirani lakini vikaingizwa nchini kinyume na taratibu, vilivyoingizwa nchini kwa muda na kuzidisha muda wa kukaa nchini na vilivyotumia msamaha wa kodi kinyume na sheria au kubadilishwa umiliki bila kufuata taratibu.
–
“Lengo la msamaha huu ni kutoa unafuu kwa wamiliki wa vyombo hivyo vya moto vyenye madeni ya kodi na adhabu kwa kulipa kodi waliyokadiriwa tu bila adhabu na riba,” amesema Mkurugenzi Kayombo.
Amelitaja lengo lingine la msamaha huo kuwa ni kujenga ushirikiano na uhusiano mwema kati ya TRA na wamiliki hao, kuwapa motisha ya kulipa kodi kwa hiari na wakati pamoja na kuweka kumbukumbu au taarifa sahihi za umiliki wa vyombo hivyo.
–
Mkurugenzi Richard Kayombo ametoa wito kwa wamiliki hao wa vyombo vya moto kujitokeza ndani ya muda wa msamaha uliotolewa na Kamishna Mkuu ili waweze kulipa kodi halisi inayodaiwa na hatimaye kukomboa vyombo yao. “Nachukua fursa hii kutoa wito kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto vilivyoingizwa nchini kwa njia nilizozitaja, kuchangamkia msamaha huu ili waweze kukomboa vyombo vyao kwa kulipia kodi halisi isiyokuwa na riba wala adhabu,” alieleza.
–
Mamlaka ya Mapato Tanzania imetoa msamaha huu kwa mujibu wa kifungu cha sheria namba 70 (2) cha Sheria ya usimamizi wa Kodi ya mwaka 2015, kama ilivyofanyiwa marekebisho na Sheria ya Fedha ya mwaka 2021 pamoja na kifungu cha 249 cha Sheria ya Usimamizi wa Ushuru wa Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya mwaka 2004 ambazo zinampa Kamishna Mkuu wa TRA mamlaka ya kusamehe riba na adhabu.
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA
HABARI

WATU MILIONI 8 HUFARIKI KWA MWAKA KISA UVUTAJI WA SIGARA

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO
HABARI

AMRI YATOLEWA WATANGAZAJI WANAWAKE WAFUNIKE NYUSO ZAO

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
ANAYETUHUMIWA KUMLAWITI BINTI YAKE AKAMATWA NA POLISI LINDI
HABARI

ANAYETUHUMIWA KUMLAWITI BINTI YAKE AKAMATWA NA POLISI LINDI

by Shabani Rapwi
May 22, 2022
MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA
HABARI

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
HABARI

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In