ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TUNAPASWA KUJIVUNIA MAFANIKIO YA SIMBA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
Apr 19, 2022
in HABARI
0
TUNAPASWA KUJIVUNIA MAFANIKIO YA SIMBA
0
SHARES
197
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Ameandika, Kiungo wa zamani wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC na Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Amri Kiemba.

RelatedPosts

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21

MORGAN HERITAGE KUACHIA ALBUM YAO APRILI 21

Mar 24, 2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Machi 24,2023

Mar 24, 2023

MESUT ÖZIL ATANGAZA KUSTAAFU SOKA

Mar 23, 2023
Load More

Sio dhambi Simba kushinda mechi za nyumbani pekee kwenye michuano ya Africa kutokana na mifumo ya usimamizi wa mchezo wenyewe kutoa faida zaidi kwa mwenyeji ndio maana mgeni akapewa faida ya goli la ugenini.

Imewachukua UEFA miaka mingi kurekebisha usimamizi wa michezo yao na kujiridhisha kunakuwepo na usawa wa ushindani ndani ya kiwanja kwa asilimia kubwa ndipo umeona wameondoa faida ya goli la ugenini

Kwa wale ambao hawajawahi kushiriki michuano ya Africa ni rahisi kushambulia mikakati ya timu kujipanga kiakili kuhakikisha mechi za nyumbani yanapatikana matokeo chanya na kuisaidia timu kuendelea mbele kwenye michuano husika. Michuano ya Africa ni tofauti na mnavyoijadili vijiweni inahitaji kuwa na timu imara ndani ya kiwanja lakini pia timu bora na bobezi kupambana nje ya uwanja kwa kutengeneza mazingira rafiki kwa timu kushindana na kupata matokeo kwani ndio utaratibu wa michuano ili kama timu inafungwa basi mjadala uwe ni kuboresha kikosi na sio tumehujumiwa

ADVERTISEMENT


Kama utaamini kwamba benchi la ufundi linatosha kuiandaa timu kushindana ndani ya kiwanja inatosha kwenye michuano ya Africa utaendelea kufukuza waalimu na kufanya usajili kila msimu hivyo basi bila kupepesa kama unataka kushindana Africa inakupasa kushindana kwa namna wanavyoshindana tengeneza timu bora ndani ya uwanja na timu bora nje ya uwanja

Kwa hili niwapongeze Simba kwa kuanza kushindana namna ambavyo tulipaswa kushindana toka awali ndio maana kutokana na ukomavu huo hatusikii tena wakilalamika juu ya hujuma kwenye michuano
Hizi propaganda zinazoendelea ni khofu ya timu pinzani ya kucheza na Simba kwa mkapa kwani wanajua ugumu wa kupata matokeo uwanjani hapo na baadhi ya watanzania wamelibeba kama agender kuhakikisha wageni wanacheza kama wako nyumbani na sio ugenini  inafikirisha.

Wakati mwingine badala ya kutaka watu wote waliokuzunguka wasiwenacho kama wewe unapaswa kufikiria ni nani utamuomba msaada ukikwama kwa maana hiyo tunapaswa kujivunia mafanikio ya Simba kama nchi kwani sasa hivi tunaanza kuzoea kupeleka timu nne .MKila la kheri Simba, kila la kheri Tanzania

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Ijumaa Machi 24,2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA
HABARI

WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA
HABARI

UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI
HABARI

ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati
HABARI

NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati

by I am Krantz
Mar 23, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Machi 23,2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In