Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu. – Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Monday, May 16, 2022
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu.

Itarejea kanuni zikibadilishwa

I am Krantz by I am Krantz
Apr 14, 2022
in BIASHARA
0
Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu.
0
SHARES
78
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Huduma ambayo ilianza kama wazo tu — la kutumia simu yako kupata usafiri ndani ya dakika chache— Mfumo wa Uber umeenea duniani kote na zaidi ya safari milioni 15 hufanyika kila siku kupitia kwenye mfumo huu. Imekuwa ni heshima kubwa kupata nafasi ya kusaidia watu kupata usafiri duniani wanapofanya shughuli zao na kutangamana na watu wengine.

Lakini, maandalizi ni sehemu muhimu katika kufikia malengo ya siku za usoni.
Siku zote, lengo letu ni kuwa mshirika muhimu katika miji mbalimbali kwa kutoa usafiri wenye ufanisi, kutengeneza fursa za kiuchumi zinazowapa madereva uhuru wa kujiingizia kipato kwa muda wanaotaka wao na kuchangia katika mapato ya serikali. Na tumelisimamia lengo hili tangu tulipofungua milango yetu katika jiji la Dar es Salaam mwaka 2016.

RelatedPosts

Rais Samia Suluhu kuzindua kitabu cha historia ya muungano

Rais Samia Suluhu kuzindua kitabu cha historia ya muungano

Apr 21, 2022

Mbunge Shabiby atoa Mwarobaini Kupanda bei mafuta

Apr 7, 2022

MAUMIVU/WARIOBA ACHARUKA/NONDO 3 ZA RAIS SAMIA/SIMBA WAJITABIRIA FAINALI………….MAGAZETINI LEO JUMATANO TAREHE 6 APRIL 2022

Apr 6, 2022
Load More

Sera za usimamizi zinapaswa kuwa chachu wala sio kikwazo cha ubunifu

Tumefanya uamuzi mgumu wa kusitisha huduma zetu nchini Tanzania kuanzia Alhamisi ya Tarehe 14 Aprili 2022. Nauli elekezi iliyowekwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesababisha changamoto kubwa kwa mifumo kama Uber kuendelea kutoa huduma kwa wateja wetu. Inakua ngumu kwetu kuendelea kutoa huduma. Hatuta weza kutoa huduma mpaka pale mazingira yatakapo kua rafiki kwa sisi kuendelea kutoa huduma.

Kipaumbele Chetu: kuwasaidia Madereva Watanzania
Uamuzi huu umekuja baada ya mamlaka kuweka kanuni ambazo ni changamoto kubwa kwa mifumo kama Uber kuendesha biashara yake. Tutafanya kazi kwa karibu na madereva kwenye mpito huu.

Tuweke Wazi: Tungependa sana kuendelea kutoa huduma zetu nchini Tanzania

Nchi ya Tanzania kupitia Dira ya Maendeleo ya 2025 imedhamiria kujenga uchumi imara, anuwai, himilivu na shindani ambao unaendana na mabadiliko ya masoko na kiteknolojia kikanda na kimataifa. Tulitegemea kwamba hii ingejumuisha kujenga mazingira wezeshi ili biashara ya ndani na kimataifa inawiri katika njia nzuri na yenye usawa, lakini kwa bahati mbaya, hali ni kinyume na matarajio.

Tutarudi kuzindua huduma zetu mara tu kutakapokuwa na kanuni mpya.

Ingawa tumefunga huduma za UberX, UberXL na UberX Saver nchini Tanzania, tuko tayari kushirikiana na mamlaka husika katika kuunda kanuni ambazo zitawezesha teknolojia kunawiri, ili tuanze tena kutoa huduma zetu zinazopendwa na watu wengu.

Asante, Tanzania!

Related

Tags: TANZANIAUBER
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

TFS KANDA YA KUSINI KUTUMIA FILAMU YA ROYAL TOUR KUONGEZA WATALII KUSINI
BIASHARA

TFS KANDA YA KUSINI KUTUMIA FILAMU YA ROYAL TOUR KUONGEZA WATALII KUSINI

by ALLY ZINGIZI
May 15, 2022
MIRADI YAKO IKO SALAMA UKIWA UMEBIMA NA BENKI YA NMB
BIASHARA

MIRADI YAKO IKO SALAMA UKIWA UMEBIMA NA BENKI YA NMB

by I am Krantz
May 14, 2022
TPA HOSTS LMC DELEGATION FOR BUSINESS TALKS
BIASHARA

TPA HOSTS LMC DELEGATION FOR BUSINESS TALKS

by I am Krantz
May 13, 2022
Vodacom Tanzania PLC watembelea wateja wao mkoani Mbeya ili kuangalia shughuli za masoko
BIASHARA

Vodacom Tanzania PLC watembelea wateja wao mkoani Mbeya ili kuangalia shughuli za masoko

by I am Krantz
May 3, 2022
JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB
BIASHARA

JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB

by I am Krantz
May 2, 2022
SIRI NZITO YA WANAUME WA MJINI YAANIKWA/TAIRI CHAKAVU TISHIO USALAMA/ISHU YA MORISSON NA CAS YAIBUKA UPYAA…..MAGAZETINI LEO ALHAMISI TAREHE 23 SEPTEMBA
BIASHARA

TAMU CHUNGU ZA ROYAL TOUR/MAYELE CHAMA CHINI YA ULINZI /WEMA ; TUMERUDI ENZI ZETU…….MAGAZETINI LEO IJUMAA TAREHE 29 APRIL

by I am Krantz
Apr 29, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Login to your account below

Forgotten Password?

Fill the forms bellow to register

*By registering into our website, you agree to the Terms & Conditions and Privacy Policy.
All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In