ADVERTISEMENT
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Sunday, May 22, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Uganda yamfukuza mwanasiasa wa upinzani wa Rwanda Robert Mkombozi

I am Krantz by I am Krantz
Apr 4, 2022
in HABARI
0
Uganda yamfukuza mwanasiasa wa upinzani wa Rwanda Robert Mkombozi
0
SHARES
48
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Uganda imesema imemtimua mmoja wa viongozi wa kundi lililopigwa marufuku la upinzani nchini Rwanda, ikiwa ni ishara zaidi ya kuimarishwa kwa uhusiano kati ya Kampala na Kigali, baada ya miaka mingi ya mvutano.
Kufukuzwa kwa Robert Mukombozi wa Chama kilicho uhamishoni cha Rwanda National Congress (RNC), kumefuatia ahadi ya mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ya kukabiliana na kundi ambalo Kigali inalichukulia kuwa la kigaidi.

Kuwepo katika ardhi ya Uganda kwa watu wanaoshukiwa kuwa waasi wanaotaka kumpindua Rais wa Rwanda Paul Kagame limekuwa donda sugu katika uhusiano kati ya majirani hao wawili.

RelatedPosts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

May 21, 2022

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

May 21, 2022

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

May 21, 2022
Load More

Kainerugaba alisema kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba Mukombozi alifukuzwa, akimtaja kuwa “adui wa Rwanda na Uganda” na kuweka picha zake akitembea kwelekea kwenye ndege, katika uwanja wa ndege wa Entebbe.

ADVERTISEMENT

Mukombozi, Mnyarwanda aliyezaliwa Uganda, alifanya kazi kama mwandishi wa habari na vyombo vya habari vya ndani, kabla ya kwenda Rwanda lakini alitofautiana na serikali na amekuwa akiishi uhamishoni nchini Australia, kwa mujibu wa maafisa wa kijasusi wa Uganda.

Mtoto huyo wa Museveni amekuwa na mchango mkubwa katika kurekebisha uhusiano wa muda mrefu wa uhasama na Kigali, ikiwa ni pamoja na kufanya mazungumzo na Kagame ambayo yalipelekea kufunguliwa tena kwa mpaka wa ardhi mwezi Januari baada ya kufungwa kwa miaka mitatu.

RNC ilianzishwa mwaka 2010 na mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda, Kayumba Nyamwasa na mkuu wa zamani wa idara ya ujasusi Patrick Karegeya, ambao wote walikwenda uhamishoni Afrika Kusini na kwendelea kuwa wakosoaji wakali wa Rais Kagame.8

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

Related Posts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 6, 2022 / BEI YA PETROLI KILIO KILA KONA / WABUNGE WACHARUKA KUPAA BEI YA MAFUTA / MAKAMBA AMALIZA UTATA BEI YA MAFUTA
HABARI

BUNDI ATUA NCCR – MAGEUZI / TUNDU LISSU, LEMA WACHOKA MAISHA YA UGHAIBUNI / MAGAZETI YA LEO MEI 22, 2022

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
TUMEUMIZWA NA MATOKEO YA JANA – AHMED ALLY
HABARI

AFRIKA NZIMA ITAKAA KWENYE TV KUANGALIA SIMBA IKICHEZA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA – AHMED ALLY

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
HABARI

MADHARA YA KUPAKA MATE UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI
HABARI

JAMES MBATIA ASIMAMISHWA NCCR-MAGEUZI

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA
HABARI

ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022
BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA
HABARI

BOCCO ANASTAILI HESHIMA KATIKA SOKA LA TANZANIA

by Shabani Rapwi
May 21, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

ADVERTISEMENT

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s

KONCEPT TV
ADVERTISEMENT
Mwanaharakati Mzalendo

Mwanaharakati Mzalendo ni mtandao namba moja kwa habari makini kutoka pande zote za dunia kuhusiana na Michezo, Siasa, Afya, Elimu, Mahusiano, Vituko, n.k

Wasiliana nasi kwa Email;krantzcharles@gmail.com
SIMU; 0658123310

Follow Us

April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In