ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Uganda yamfukuza mwanasiasa wa upinzani wa Rwanda Robert Mkombozi

I am Krantz by I am Krantz
Apr 4, 2022
in HABARI
0
Uganda yamfukuza mwanasiasa wa upinzani wa Rwanda Robert Mkombozi
0
SHARES
150
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Uganda imesema imemtimua mmoja wa viongozi wa kundi lililopigwa marufuku la upinzani nchini Rwanda, ikiwa ni ishara zaidi ya kuimarishwa kwa uhusiano kati ya Kampala na Kigali, baada ya miaka mingi ya mvutano.
Kufukuzwa kwa Robert Mukombozi wa Chama kilicho uhamishoni cha Rwanda National Congress (RNC), kumefuatia ahadi ya mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ya kukabiliana na kundi ambalo Kigali inalichukulia kuwa la kigaidi.

Kuwepo katika ardhi ya Uganda kwa watu wanaoshukiwa kuwa waasi wanaotaka kumpindua Rais wa Rwanda Paul Kagame limekuwa donda sugu katika uhusiano kati ya majirani hao wawili.

RelatedPosts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

Mar 24, 2023

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

Mar 24, 2023

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

Mar 24, 2023
Load More

Kainerugaba alisema kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba Mukombozi alifukuzwa, akimtaja kuwa “adui wa Rwanda na Uganda” na kuweka picha zake akitembea kwelekea kwenye ndege, katika uwanja wa ndege wa Entebbe.

Mukombozi, Mnyarwanda aliyezaliwa Uganda, alifanya kazi kama mwandishi wa habari na vyombo vya habari vya ndani, kabla ya kwenda Rwanda lakini alitofautiana na serikali na amekuwa akiishi uhamishoni nchini Australia, kwa mujibu wa maafisa wa kijasusi wa Uganda.

ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Mtoto huyo wa Museveni amekuwa na mchango mkubwa katika kurekebisha uhusiano wa muda mrefu wa uhasama na Kigali, ikiwa ni pamoja na kufanya mazungumzo na Kagame ambayo yalipelekea kufunguliwa tena kwa mpaka wa ardhi mwezi Januari baada ya kufungwa kwa miaka mitatu.

RNC ilianzishwa mwaka 2010 na mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda, Kayumba Nyamwasa na mkuu wa zamani wa idara ya ujasusi Patrick Karegeya, ambao wote walikwenda uhamishoni Afrika Kusini na kwendelea kuwa wakosoaji wakali wa Rais Kagame.8

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE
HABARI

BABA MWENYE NYUMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPANGAJI WAKE

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA
HABARI

WANAOKULA HADHARANI MCHANA WA RAMADHANI KUKAMATWA

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII
HABARI

HII KALI : KUISHI CHINI YA MAJI SIKU 100 KISA KUTAFUTA REKODI HII

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI
HABARI

WANAUME WANAONYANYUA VITU VIZITO WATAJWA RIJALI ZAIDI

by Shabani Rapwi
Mar 24, 2023
MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI
HABARI

MWALIMU JELA MIAKA 30 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI

by ALFRED MTEWELE
Mar 24, 2023
BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC
HABARI

BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MKEKA WA USHINDI NA ATM ZA NBC

by I am Krantz
Mar 24, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
April 2022
M T W T F S S
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  
« Mar   May »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In