ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, July 2, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 21, 2022
in HABARI
0
ALIYOFANYA MIQUISSON, SAKHO AMESHINDWA KUFANYA
0
SHARES
165
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

Jul 2, 2022

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

Jul 2, 2022

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

Jul 2, 2022
Load More

Ameandika : Moud Mtanzania, shabiki wa klabu ya Simba SC

ADVERTISEMENT

 

Kama Kuna mchezaji anaependwa Simba kwa sasa na ni kipenzi cha Mashabiki Basi Ni Sakho, Kwenye kundi la Mashabiki wa Simba wapatao 10 ukiwauliza Ni mchezaji gani unaempenda kwa Sasa Basi tegemea 7 watakwambia Pape Ousmane Sakho .
–
Ndio, Huyu Ni Pape Sakho Raia wa Senegal ambae usajili wake ulizungumziwa zaidi Africa na nchini kwao kutokana na kipaji chake wengi walitegemeaa angeenda ulaya lakini Ushawishi wa viongozi wa Simba waliweza kuinyaka Saini ya huyu mtoto Simba wa Teranga.
–
Ndio huyu huyu Sakho ambae kipindi anakuja Simba Mashabiki wengi tulikuwa na Imani nae kwakusema tumepata mbadala wa Louis Miquissoine (Konde Boy), Tusidanganyane kiubora Sakho tunaweza kusema Ni Bora kuliko Miquissoine lakini kwa aliyoyafanya Konde boy Sakho ameshindwa kufikia hata robo yake.
–
Sakho alipopata majeraha tulimtetea kwakusema labda akipona atauwasha Moto na kumpata huyo new Konde lakini matokeo yake Ni kumkumbuka tu kwa Miquissoine na upo mpango wakumrudisha Simba,
Kama ningekuwa Sakho ningejipa muda wa maswali na majibu :- ningejiuliza Kama nilisajiliwa mbadala wa Miquissoine Leo hii anakumbukwa na kutaka kumrudisha ” inamaana Mimi nimeshindwa kuwashawishi? Au nimeshindwa kufikia ubora wa Miquissoine? Majibu angebaki nayo mwenyewe.
–
Ukweli Ni huu Sakho Ni mchezaji mzuri sana Ila kinachomfelisha Ni kucheza na Jukwaa hii ndio Tofauti yake na Miquissoine, miq Alikuwa fighter kweli katika dakika 90 za mechi huwezi kumuona akinyanyua macho yake nakuangalia majukwaa Kama mashabiki wananishangilia , Miquissoine alikaba , alifunga Sana, Kapigwa Sana kadi za njano lakini mwiso wa siku Mashabiki tulimpenda Sana na mpaka leo tunampenda kwasababu tu Ile fighting spirit yake ilivyokuwa high kwenye kututafutia matokeo.
–
Nikweli kila mchezji ana style yake ya kiuchezaji Ila utukumbuke nasisi Mashabiki tunapenda zaidi matokeo kuliko kutushangilisha kwa kukimbia na mpira muda mwingi halafu hakuna madhara UNATUZULUMU, najuwa unanijengea mazingira yako binafsi ya You Tube ili ujitangaze lakini sisi tunakuomba uifikirie zaidi Simba zile mbwembwe punguza UNATUZULUMU.
–
By the way Huu Msimu ndio unaisha Bado unayonafasi yakutuonesha nikwanini wasenegal walichukia maamuzi ya wewe kuja Simba na kwanini usingeenda Ulaya, Bado unayonafasi yakutengeneza ufalme wako Kama ilivyokuwa kwa kibaden, Pawasa, Okwi, Chama, hata Miquissoine. TUNAKUPENDA LAKINI UNATUDHULUMU ✍️
Ni Hayo Tu. #MoudSijambo
ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI
HABARI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
NEYMAR KUONDOKA PSG
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022
AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME
HABARI

AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI
HABARI

MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022
HABARI

SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In