Mshambuliaji wa Barcelona na Timu ya Taifa ya Gabon, Pierre Emerick Aubameyang ametangaza kustaafu soka la Kimataifa na Gabon akiwa na umri wa miaka 32.
–
ADVERTISEMENT
Aubameyang ambaye amekuwa nahodha wa timu ya Taifa ya Gabon amehudumu katika kikosi hicho kwa kipindi cha miaka 10 akicheza mechi 72 huku akifunga magoli 30.
ADVERTISEMENT