ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, July 2, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

Benki ya NMB yapiga tafu Milioni 20 kinara wa ubunifu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam*

I am Krantz by I am Krantz
May 28, 2022
in BIASHARA
0
Benki ya NMB yapiga tafu Milioni 20 kinara wa ubunifu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam*
0
SHARES
39
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Eliamani Sedoyeka akimpongeza Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Dk Aldo Kitalika baada ya kumkabidhi mfano wa Hundi ya Shilingi Milioni 20 katika Wiki ya maonyesho ya 7 ya Utafiti na Ubunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam . Meneja Utafiti Masoko wa Benki ya NMB-Prochest Kachenje(wa pili kushoto) na Meneja mahusiano ya taasisi za umma na binafsi- Eliamani Kimaro(wa pili kulia)

RelatedPosts

NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA

NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA

Jun 30, 2022

NMB YAZINDUA KIFURUSHI MAALUM KWAAJILI YA WALIMU

Jun 23, 2022

Benki ya NMB yasaidia ukusanyaji wa Trilioni 8.6 za Serikali

Jun 23, 2022
Load More

Meneja Utafiti Masoko- Prochest Kachenje akizungumza na wanachuo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika maonyesho ya 7 ya Utafiti na Ubunifu.

Benki ya NMB imekabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 20 kwa kinara wa Ubunifu kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ikiwa ni motisha kupitia mradi wa asili wa saruji inayotengenezwa kwa kutumia mabaki ya mimea na miamba.

Hundi hiyo ilikabidhiwa mwishoni mwa wiki hii Mei 26,2022 na Meneja Utafiti Masoko wa Benki ya NMB, Prochest Kachenje kwa Mpelelezi Mkuu wa Mradi huo, Dk Aldo Kitalika na kushuhudiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Eliamani Sedoyeka.

Mradi huo unalenga kuzalisha saruji inayoweza kutumika mbadala ya saruji ya jadi na inatengenezwa kutokana na mabaki ya mimea na mabaki kutoka migodini kwa maana ya mawe na udongo.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya hundi hiyo, Kachenje alieleza kuwa NMB imejidhatiti kuendelea kuchangia ukuaji wa utafiti na ubunifu.

“Kwa kuwekeza katika utafiti na uvumbuzi, tumechangia kwa kiasi kikubwa hatua ambazo nchi imepiga kwenye sekta ya kifedha na ukuaji wa uchumi kwa ujumla. Tutaendelea kubuni na kusambaza bidhaa za kidijitali zinazoendana na mahitaji ya wateja wetu na soko la Tanzania,” aliongezea Kachenje

Akipokea tuzo hiyo, Dk Aldo Kitalika aliishukuru benki hiyo kwa mchango wake na kusema fedha hizo zimepatikana wakati muafaka kwani tayari wameshaagiza mashine kutoka Uturuki yenye thamani ya Shilingi Milioni 47 na kutarajia kuanza uzalishaji Julai mwaka huu.

MWISHO

Related

Tags: NMB
ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022
NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA
BIASHARA

NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA

by I am Krantz
Jun 30, 2022
PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA
BIASHARA

PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

by I am Krantz
Jun 30, 2022
BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI
BIASHARA

BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

by I am Krantz
Jun 30, 2022
Mkurungezi wa NBC Akutana na Waziri wa Kilimo kukuza Biashara  za kilimo
BIASHARA

Mkurungezi wa NBC Akutana na Waziri wa Kilimo kukuza Biashara za kilimo

by I am Krantz
Jun 28, 2022
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA
BIASHARA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

by I am Krantz
Jun 26, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In