ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Tuesday, March 28, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Benki ya Stanbic yakabidhi vyumba vya madarasa 10 vyenye thamani ya zaidi ya TZS 159 milioni

I am Krantz by I am Krantz
May 15, 2022
in HABARI
0
Benki ya Stanbic yakabidhi vyumba vya madarasa 10 vyenye thamani ya zaidi ya TZS 159 milioni
0
SHARES
200
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (Katikati), akikata utepe katika hafla ya kukabidhi vyumba vya madarasa 10 vilivyojengwa  na benki ya Stanbic vyenye thamani ya TZS 159 milioni katika Kituo cha WATOTO WETU TANZANIA hivi karibuni Msata, Bagamoyo.Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi na Mwanzilishi wa kituo cha watoto yatima cha Watoto Wetu Tanzania,Evans Tegete (Kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Pwani – Abubakar Kunenge (wapili Kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Stanbic, Kevin Wingfield (Kulia) wakishuhudia tukio hilo.Hii ni sehemu ya mpango wa Benki ya Stanbic kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha utoaji wa elimu nchini.

 

RelatedPosts

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE

Mar 28, 2023

MBUNGE ATOA MAJIKO YA GESI 700 KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI

Mar 28, 2023

TAIFA STARS YAAHIDI KUENDELEZA ILIPOISHIA

Mar 28, 2023
Load More

May, Dar es Salaam:  Benki ya Stanbic Tanzania imekabidhi vyumba vya madarasa 10 vyenye thamani ya TZS milioni 159 katika kituo cha WATOTO WETU TANZANIA kilichopo Mazizi-Msata kwa kwaajli ya watoto wenye mahitaji maalumu na wanaoishi katika mazingira magumu.Hafla hiyo ilihudhuriwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe, Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani – Abubakar Kunenge na uongozi wa wilaya hiyo.

Msaada huo unaendana na maono ya benki ya kufanya ndoto ziwezekane huku ikikuza maendeleo ya binadamu ya Tanzania kupitia elimu jumuishi na bora. Benki imejitolea kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha watoto wote wanapata elimu bora kulingana na Dira ya Maendeleo ya 2025 ya nchi.

ADVERTISEMENT

‘Tumedhamiria kutafuta njia mpya za kufanya ndoto ziwezekane kwa wateja wetu na jamii zinazotuzunguka, na tumechagua kimakusudi kuzingatia elimu na afya kama nguzo zetu mbili kuu za kuwekeza katika maendeleo ya kijamii,” alisema Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Stanbic, Kevin  Wingfield.

Kwa upande wake, Mhe Jakaya Mrisho Kikwete alipongeza juhudi za benki ya Stanbic za kuwekeza katika kusaidia jamii, na  kuiunga mkono serikali katika azama yake ya kuleta mabadiliko endelevu kwenye sekta ya elimu kwa kuongeza upatikanaji wa elimu bora. “‘Maendeleo ya nchi yanaundwa na vitu vingi lakini jambo kubwa ni rasilimali watu ambao wana ujuzi wa kusukuma gurudumu hilo,  inabidi tuhakikishe vijana wetu wanapata elimu bora ambayo itawawezesha kubuni mbinu mbadala za kutatua changamoto za jamii, vile vile kushindana katika soko la ajira duniani.” alisema.

Akizungumzia msaada huo Mkuu wa Mkoa wa Pwani – Abubakar Kunenge alisema Kupitia uchangiaji huu wa vyumba vya madarasa, Stanbic imesaidia kwa kiasi kikubwa kujenga wataalamu watakao jenga taaifa la kesho

Madarasa hayo 10 pia yatatumiwa na wasichana  waliokatisha masomo kutokana na mimba za utotoni.

Kama sehemu ya uwekezaji katika jamii, Stanbic imetoa zaidi ya TZS bilioni 1 kusaidia sekta ya elimu ya Tanzania; kwa kujenga vyumba vya madarasa, kuchangia madawati, na kukarabati miundombinu ya shule kama vile vyoo ili kuboresha usafi wa mazingira katika shule mbalimbali.

ADVERTISEMENT

 

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE
HABARI

DC JOKATE MWEGELO AZURU NCHINI AFRIKA KUSINI KUTANGAZA FURSA ZAO LA MKONGE

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
MBUNGE ATOA MAJIKO YA GESI 700 KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI
HABARI

MBUNGE ATOA MAJIKO YA GESI 700 KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
RAIS SAMIA ATUNUKIWA TUZO NA WANAHABARI, JNICC
HABARI

RAIS SAMIA ATUNUKIWA TUZO NA WANAHABARI, JNICC

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
MFAHAMU MVUVI ALIYEPOTELEA BAHARINI SIKU 438, NA KUKUTWA BADO YUPO HAI
HABARI

MFAHAMU MVUVI ALIYEPOTELEA BAHARINI SIKU 438, NA KUKUTWA BADO YUPO HAI

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
MAKAMU WA RAIS MAREKANI ZIARANI KESHO NCHINI
HABARI

MAKAMU WA RAIS MAREKANI ZIARANI KESHO NCHINI

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023
WASANII BONGO WALIOTAJWA PLAYLISTS YA KAMALA
HABARI

WASANII BONGO WALIOTAJWA PLAYLISTS YA KAMALA

by ALFRED MTEWELE
Mar 28, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In