ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Friday, March 24, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

BIMA YA KILIMO YA BENKI YA NMB YAMKOMBOA MKULIMA

I am Krantz by I am Krantz
May 12, 2022
in HABARI
0
BIMA YA KILIMO YA BENKI YA NMB YAMKOMBOA MKULIMA
0
SHARES
121
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

Tunafahamu kilimo chetu Watanzania kinategemea hali ya hewa, hivyo hasara ya kutokupata mazao inaweza kutokea. Ikishirikiana na makampuni ya bima, Benki ya NMB inamlinda mkulima dhidi ya hasara ya itakayotokana na mvua ya mawe, moto, ukame, mvua nyingi, uharibifu wa baridi, mafuriko na radi.

Kwa mujibu wa NMB, bima hii inahusisha mazao yote ya biashara ikiwemo; Ngano, mahindi, shayiri, mpunga, chai, kahawa, miwa, tumbaku, mazao yote ya mbogamboga, maua na mazao ya miti.

RelatedPosts

MESUT ÖZIL ATANGAZA KUSTAAFU SOKA

MESUT ÖZIL ATANGAZA KUSTAAFU SOKA

Mar 23, 2023

WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA

Mar 23, 2023

UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA

Mar 23, 2023
Load More

Pia, unaweza kununua bima hii kwa ajili ya mali na vifaa vya kilimo pamoja na mazao yaliyovunwa, shamba kitalu na vifaa vya umwagiliaji.

Vile vile, bima hii inategemea na thamani ya pembejeo au bei ya soko iliyokubaliwa mapema ya mazao yaliyopandwa.

Faida ukiwa umebima shamba lako kupitia Benki ya NMB;

  • Utapata mikopo ya kilimo kwani hati ya sera ya mazao inakubaliwa na taasisi za kufadhili kama njia mbadala ya dhamana
  • Kujikinga dhidi ya hasara kwa kupewa kiinua mgongo kipindi cha msimu mbaya wa mazao
  • Elimu ya biashara ya kilimo kupitia wataalamu wetu katika sekta hio.

Bima hii ya mazao ni uvumbuzi wa kifedha ambao huchochea uwekezaji katika sekta ya kilimo kupitia kuongezeka kwa ufikiaji wa fedha na motisha kwa wadau wote.

Kisichokingwa na bima hii ni hasara yoyote ya mazao itokanayo na majanga ambayo hajakatiwa bima, kupungua kwa mazao na kupungua ubora kwasababu ya usumbufu au ajali katika mchakato mzima wa kazi.

Pia, hasara itokanayo na ucheleweshwaji uvunaji, kukamatwa au kushikiliwa, kuzuia mazao au vifaa, makosa katika matumizi ya dawa kwa kushindwa kufuata mapendekezo juu ya taratibu za matumizi, wizi, upotevu usieleweka na hasara isiyohesabika.

ADVERTISEMENT

Kiwango cha bima kinategemea aina ya mazao, eneo, ukubwa wa shamba na  idadi ya vihatarishi. Kiwango hiki ni kati ya asilimia 4.5 na 6 kwa ujumla inayokatiwa bima.

Unachohitaji ni;

  • Fomu ya maombi iliyojazwa kikamilifu na malipo ya bima
  • Ripoti ya mazao kupandwa iliyoandaliwa na mtoa bima
  • Muafaka wa madai
  • Hasara ya mazao/uzalishaji

Malipo yote ya madai yatafanyika mwisho wa msimu wa mazao, hata hivyo inapotokea hasara kubwa inayohitaji kuotesha mazao upya basi malipo yatafanyika kuwezesha kuotesha mazao upya.

Tembelea tawi lolote la benki ya NMB lililopo karibu yako kujipatia bima hii.

ADVERTISEMENT

Umebima-SiNgumuKihivyo!

 

Related

ADVERTISEMENT
I am Krantz

I am Krantz

👉 FOUNDER & CEO of KONCEPT 👉Serial & Self-made Entrepreneur 👉Digital media consultant 👉Pr & media Guru/Awards winner Blogger 👉Startuper of the year 2016 by TOTAL 👉TOP 50 Most influential young Tanzania 2017 👉General Secretary at Tanzania Bloggers Network 👉 UPG Sustainability Leader in the Class of 2021 👉 ALUMNI The Tony Elumelu Foundation 👉Chairman YOUNG CEO CLUB Tanzania 🇹🇿 ‘ 😊 Marketer BY Education, Entrepreneur BY Profession & Blogger BY Passion ”😊

Related Posts

WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA
HABARI

WABUNGE WAONYA KUWEKEA VIKWAZO SHERIA YA MAPENZI YA JINSIA MOJA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA
HABARI

UWANJA WA NDEGE CHATO KUBORESHWA

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI
HABARI

ASHTAKIWA MAHAKAMANI KUWAINGILIA MBUZI KIMWILI

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati
HABARI

NMB yatoa msaada wa milioni 39 kuimarisha sekta ya afya na elimu Kanda ya Kati

by I am Krantz
Mar 23, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023
HABARI

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Machi 23,2023

by ALFRED MTEWELE
Mar 23, 2023
YANGA PRINCESS, SIMBA QUEENS HAKUNA MBABE
HABARI

YANGA PRINCESS, SIMBA QUEENS HAKUNA MBABE

by Shabani Rapwi
Mar 22, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In