ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, March 20, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

CHADEMA KUKUTANA NA VIONGOZI WA CCM WIKI IJAYO

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 11, 2022
in HABARI
0
CHADEMA KUKUTANA NA VIONGOZI WA CCM WIKI IJAYO
0
SHARES
138
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

Mar 20, 2023

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

Mar 20, 2023

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

Mar 20, 2023
Load More

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kwamba wiki ijayo watakutana na viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kufanya kikao cha pamoja chenye lengo la kujadili mambo ya msingi ya kujenga taifa pamoja na  kutengeneza mahusiano mazuri ya vyema hivyo.

–

Mbowe ameyasema hayo leo Mei 11, 2022 wakati akizungumza kwenye Baraza Kuu la Chama hicho, Dar es Salaam.

–

“Juzi wakati tunajiandaa na Baraza Kuu, Rais Samia aliomba tuonane tena nikaenda kumuona tulikuwa na kikao cha masaa mawili, tumekubalina kwamba kutakuwa na kikao kingine Wiki ijayo kati ya Rais Samia na ujumbe wake wa Viongozi wa Serikali na CCM na Viongozi wasiozidi 10 wa CHADEMA wakiongozwa na Mimi, tutakwenda kuzungumza ni nini kinafanya tunashindwa kuelewana katika kulipeleka Taifa letu mbele”

–

“Wiki ijayo tutaanza vikao vya CHADEMA na Rais na CCM na Serikali yake, tuulizane mambo ya msingi tukitambua kuwa sisi tukiweza kujenga mahusino ya msingi wenzetu nao watajiunga na sisi kutengeneza mahusiano mazuri”

–

“Watu wetu wamekuwa na hofu kwasababu ya kutoamiana, hata ukienda kwenye Mataifa ambayo yamepigana vita kwa miaka mingi, yamefanyiana ubaguzi kama Afrika Kusini wakati Mandela yupo Jela alikuwa anaendelea kufanya mazungumzo na Watawala, Makaburu wa Afrika Kusini”

ADVERTISEMENT

–

“Wana CHADEMA hatuwezi kuponya matatizo ya Taifa letu pekee yetu tunayaponya kwa kuangalia CCM, ACT, CHAUMMA, Vyama vingine na waisokuaa na Vyama ili tulilete Taifa letu pamoja”

ADVERTISEMENT

–

“Nilimwambia Rais wakati wa Katiba bora na mpya ni sasa na nimemuhakikishia CHADEMA hatutaacha ajenda yetu ya Katiba Mpya na pia nilimuuliza Mama kwanini mnaogopap katiba?” .

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

RJ THE DJ VIFO VINAONGEZA MSONGO WA MAWAZO
HABARI

ROMY JONS AOMBA MSAMAHA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”
HABARI

MCHUNGAJI AFUNGA KANISA KISA ASHINDA MIL 100 ZA “KUBETI”

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA
HABARI

WAZIRI BITEKO ATAKA BAJETI YA 2023/24 KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA WIZARA

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO
HABARI

TMA YATOA TAHADHARI MVUA KUBWA MIKOA HII KUANZIA LEO NA KESHO

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023
WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR
HABARI

WATU 5 WASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA WIZI MAFUTA SGR

by ALFRED MTEWELE
Mar 20, 2023
MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI
HABARI

MARUFUKU KUTOA FEDHA UPATE DHAMANA POLISI

by Shabani Rapwi
Mar 20, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In