ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Saturday, July 2, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

DC MSANDO APIGA MARUFUKU KUFANYA UTALII KWENYE MITO

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 18, 2022
in HABARI
0
DC MSANDO APIGA MARUFUKU KUFANYA UTALII KWENYE MITO
0
SHARES
41
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

 

RelatedPosts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

Jul 2, 2022

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

Jul 2, 2022

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

Jul 2, 2022
Load More

Kufuatia kifo cha mwanafunzi wa chuo cha mifugo LITA Morogoro kufariki akiwa anaongelea kwenye bwawa la Mambogo alipoenda kutalii Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando amelazimika kupiga marufuku na kusitisha shughuli zozote za utalii katika vyanzo vya maji hadi pale utaratibu mwingine utakapotolewa baada ya kujiridhisha na shughuli za kiusalama.

 

–

Mkuu huyo wa wilaya alipiga marufuku hiyo mara baada ya mwanafunzi wa chuo cha Mifugo LITA cha mjini Morogoro John Benako kufariki dunia wakati akiongelea na wenzake wanne kwenye bwawa la Mambogo lililopo mjini Morogoro.

–

Tukio limetokea Mei 15 mwaka huu, na mwili wake kuopolewa Mei 15, ambapo tukio jingine liliripotiwa mwezi uliopita la Mwanafunzi wa chuo kikuu Mzumbe kwa kuangukiwa na jiwe kwenye Milima ya Uluguru wakiwa kwenye shughuli za Utalii.

–

Aidha alisema mwanafunzi Benako alikwenda na wenzake saba maeneo hayo kwa shughuli za Utalii, ambapo wanne waliingia kwenye maji kuogolea huku wakidaiwa kutofahamu mazingira, na ugeni wa lile eneo.

–

ADVERTISEMENT

” Inadhaniwa akaingia kwenye kina cha maji na kuzama ambapo juhudi za kutafuta mwili wake zilifanyika bila mafanikio siku ya kwanza, Hadi siku ya pili alipoopolewa na askari wa jeshi la Zimamoto na Uokoaji” alisema DC Msando.

ADVERTISEMENT

–

Hata hivyo alimuagiza mkurugenzi wa Bonde la Maji la Wami-Ruvu kusimamia maelekezo hayo ya kuzuia wananchi kufanya Utalii katika maeneo hayo, hadi pale kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya itakapoweka utaratibu mzuri wakijiridhisha na usalama wa watumiaji wa maeneo hayo ili kuepusha matukio ya watu kufa maji ambayo huenda yakawa ni zaidi hata ya hayo matano yaliyoripotiwa rasmi.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI
HABARI

WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KWA AJALI

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
NEYMAR KUONDOKA PSG
HABARI

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMAMOSI JULAI 2, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 2, 2022
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.
BIASHARA

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

by I am Krantz
Jul 2, 2022
AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME
HABARI

AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASA KWENYE NYAYA ZA UMEME

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI
HABARI

MTUMISHI WA TANESCO AKUTWA GUEST AMEFARIKI

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022
SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022
HABARI

SIKUKUU YA EID EL-ADH’HAA JULAI 10, 2022

by Shabani Rapwi
Jul 1, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In