ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, October 1, 2023
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result

ERIK TEN HAG AANZA MAISHA MAPYA NDANI YA UNITED

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 23, 2022
in HABARI
0
ERIK TEN HAG AANZA MAISHA MAPYA NDANI YA UNITED

ARNHEM, NETHERLANDS - MAY 15: AFC Ajax Head Coach / Manager, Erik ten Hag thanks the away fans after the Dutch Eredivisie match between Vitesse and Ajax Amsterdam held at Gelredome on May 15, 2022 in Arnhem, Netherlands. (Photo by Dean Mouhtaropoulos/Getty Images)

0
SHARES
260
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Erik ten Hag

 

Rasmi Kocha mpya wa Manchester United, Erik Ten Hag ametambulishwa kwenye dimba la Old Trafford, siku moja baada ya klabu hiyo kumaliza mchezo wao wa mwisho wa msimu dhidi ya Crystal Palace ambapo walifungwa bao 1-0.

RelatedPosts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

Sep 29, 2023

TSO WAZINDUA GALA DINNER

Sep 29, 2023

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

Sep 29, 2023
Load More

 

–

United wamemaliza kwenye nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu England, nafasi ambayo inawapa tiketi ya kushiriki michuano ya Europa League msimu ujao.

 

–

Ten Hag atakuwa na kibarua cha kuhakikisha inairejesha timu hiyo kwenye ramani za ushindani ambapo kwa miaka zaidi ya nane tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson, timu hiyo haikuwa na mafanikio makubwa zaidi ya kubeba mataji matatu ya (FA, Europa na Ngao ya Jamii) wakiwa chini ya Jose Mourinho kati ya 2016-2018.

 

–

Kocha huyo ameondoka Ajax akiwa bingwa wa Eredivisie (Ligi Kuu Uholanzi) huku akiongoza klabu hiyo kufika hadi nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya msimu wa 2018/19 na hatua ya 16 bora kwa msimu huu. Ameondoka Ajax akiwa na mataji matatu ya Eredivisie kabatini.

Related

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Related Posts

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO
HABARI

CHAGUZI KUFANYIKA MTANDAONI SIKU ZIJAZO

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TSO WAZINDUA GALA DINNER
HABARI

TSO WAZINDUA GALA DINNER

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
CHANJO YA MBWA NI MUHIMU
AFYA

CHANJO YA MBWA NI MUHIMU

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN
HABARI

52 WAFARIKI KWENYE MAADHIMISHO YA MAULID NCHINI PAKISTAN

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA
HABARI

SEKTA YA MADINI YAJA NA MBT KAMA FURSA KWA VIJANA

by SUZO SHUKRANI
Sep 29, 2023
TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 
HABARI

TUNZAA YATANGAZA USHIRIKIANO MKUBWA NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA 

by I am Krantz
Sep 29, 2023

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In