ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

ERIK TEN HAG AANZA MAISHA MAPYA NDANI YA UNITED

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 23, 2022
in HABARI
0
ERIK TEN HAG AANZA MAISHA MAPYA NDANI YA UNITED

ARNHEM, NETHERLANDS - MAY 15: AFC Ajax Head Coach / Manager, Erik ten Hag thanks the away fans after the Dutch Eredivisie match between Vitesse and Ajax Amsterdam held at Gelredome on May 15, 2022 in Arnhem, Netherlands. (Photo by Dean Mouhtaropoulos/Getty Images)

0
SHARES
52
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Erik ten Hag

 

Rasmi Kocha mpya wa Manchester United, Erik Ten Hag ametambulishwa kwenye dimba la Old Trafford, siku moja baada ya klabu hiyo kumaliza mchezo wao wa mwisho wa msimu dhidi ya Crystal Palace ambapo walifungwa bao 1-0.

RelatedPosts

Auto Draft

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

Jun 26, 2022

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

Jun 26, 2022

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

Jun 26, 2022
Load More

 

–

United wamemaliza kwenye nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu England, nafasi ambayo inawapa tiketi ya kushiriki michuano ya Europa League msimu ujao.

 

–

ADVERTISEMENT

Ten Hag atakuwa na kibarua cha kuhakikisha inairejesha timu hiyo kwenye ramani za ushindani ambapo kwa miaka zaidi ya nane tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson, timu hiyo haikuwa na mafanikio makubwa zaidi ya kubeba mataji matatu ya (FA, Europa na Ngao ya Jamii) wakiwa chini ya Jose Mourinho kati ya 2016-2018.

 

ADVERTISEMENT

–

Kocha huyo ameondoka Ajax akiwa bingwa wa Eredivisie (Ligi Kuu Uholanzi) huku akiongoza klabu hiyo kufika hadi nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya msimu wa 2018/19 na hatua ya 16 bora kwa msimu huu. Ameondoka Ajax akiwa na mataji matatu ya Eredivisie kabatini.

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Auto Draft
HABARI

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

by I am Krantz
Jun 26, 2022
ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA  MCHUMBA WAKE
HABARI

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE
HABARI

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK
HABARI

HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE
HABARI

ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA
BIASHARA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

by I am Krantz
Jun 26, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In