ADVERTISEMENT
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv
Monday, June 27, 2022
  • Login
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
  • Home
  • HABARI
  • BURUDANI
  • BIASHARA
  • MICHEZO
  • MAGAZETI
  • MAGAZETI TANZANIA
  • KIMATAIFA
  • KONCEPT TV
No Result
View All Result
Mwanaharakati Mzalendo
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

IGP SIRRO AWAONYA WAHALIFU

Shabani Rapwi by Shabani Rapwi
May 17, 2022
in HABARI
0
IGP SIRRO AWAONYA WAHALIFU
0
SHARES
55
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 

RelatedPosts

Auto Draft

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

Jun 26, 2022

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

Jun 26, 2022

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

Jun 26, 2022
Load More

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amewaonya baadhi ya watu wanaojihusisha na uhalifu kwenye malori ikiwa pamoja na kujeruhi watu na kuwasababishia majeraha ambapo amesema Jeshi la Polisi limeanzisha doria kwenye barabara kuu na kuwataka madereva kuendelea kuchukua tahadhari.

–

ADVERTISEMENT

IGP Sirro amesema hayo wakati akifungua Mradi wa Kimkakati wa Fremu 12 za Maduka katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini Dar es salaam, Mradi ambao utawezesha chuo hicho kujiendesha kwenye mahitaji mbalimbali.

–

Kuhusu Usajili wa Pikipiki (Bodaboda) IGP Sirro amewataka wananchi hasa wanaonunua Pikipiki kwenye makampuni mbalimbali kuhakikisha wanafuata sheria za usajili kwa kuwa na kadi inayoonesha jina halisi la mmiliki wa chombo hicho.

–

Kuhusu maendeleo ya operesheni ya Panya Road IGP Sirro amesema kuwa, kutokana na kazi kubwa iliyofanywa na Jeshi hilo kwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi shirikishi imesaidia kudhibiti uhalifu unaotekelezwa na baadhi ya watu/vikundi vya watu na kwamba hadi sasa hali ya nchi ni salama.

–

Naye Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam SACP Lazaro Mambosasa, amesema chuo hicho kitaweza kujiendesha kutokana na kuwa na miradi mbalimbali ikiwemo bwawa la kufugia samaki pamoja na Mradi mpya wa kimkakati wa fremu 12 za maduka uliogharimu fedha za Kitanzania shilingi milioni 105.

ADVERTISEMENT

Related

ADVERTISEMENT
Shabani Rapwi

Shabani Rapwi

Shabani Rapwi (Kijana Mchapa Kazi) WhatsApp; 0689232546 Email ;shabanimohamed932@gmail.com

Related Posts

Auto Draft
HABARI

NBC Wanogesha hafla ya kukabidhiwa Kombe Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, klabu ya Yanga SC j

by I am Krantz
Jun 26, 2022
ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA  MCHUMBA WAKE
HABARI

ROSE REE AFUTE PICHA ZOTE ZA MCHUMBA WAKE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE
HABARI

KAJALA ATOA AHAADI NZITO KWA HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK
HABARI

HUYU NDIYO MWENYE WAFUASI WENGI ZAID TIKTOK

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE
HABARI

ALICHO KISEMA LUKAMBA KUHUSU HARMONIZE

by Shabani Rapwi
Jun 26, 2022
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA
BIASHARA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

by I am Krantz
Jun 26, 2022

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

KONCEPT TV

https://www.youtube.com/watch?v=0HP0mB_rtIU&t=7s
KONCEPT TV

KONCEPT TWEETS

ADVERTISEMENT
May 2022
M T W T F S S
 1
2345678
9101112131415
16171819202122
23242526272829
3031  
« Apr   Jun »
Currently Playing
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Biashara
  • Afya
  • Kisamkasa
  • Magazeti
  • Makala
  • Michezo
  • Teknolojia
  • Koncept Tv

All rights reserved © 2020 Mwanaharakati Mzalendo - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In